Recent content by Sammo Hung

  1. Sammo Hung

    Njia za kiasili za kuongeza nguvu za kiume ni zipi?

    Nguvu za kiume zinaanzia kichwani, ndio nimesema kichwani,,,, utulivu wa akili huleta ufanisi mkubwa kwenye jambo lolote lile. Shughulika na hilo kwanza kisha utaona
  2. Sammo Hung

    Wageni wanapewa dhamana ya kusimamia rasilimali zetu kwa sababu wazawa wamekuwa wakihujumu shughuli za Kiserikali

    Ni jambo jema ila tatizo hawaweki wazi mikataba wanayoingia na hao wageni, tusije kuwapa Waarabu au Wachina mkataba wa miaka 100 alafu tukajuta baadae
  3. Sammo Hung

    Kijana wa kiume ambae upo 30's mwanamke wa kuoa ni mwenye miaka 18-23

    Pole sana Bado hujakutana na 30+ zenye Km chache wewe
  4. Sammo Hung

    Tabia ya Hawa wafanyakazi wenzangu, inaninyima raha

    Kuna wakati Mungu anakubariki ili na wengine wabarikiwe kupitia wewe, hakuna asiyependa kumiliki gari lake
  5. Sammo Hung

    Tabia ya Hawa wafanyakazi wenzangu, inaninyima raha

    Umasikini mbaya sana, tutafuteni pesa jamani naona dharau zimezidi sasa.
  6. Sammo Hung

    Aliniambia ana mtoto mmoja lakini baada ya kuwa naye kwenye mahusiano nimegundua ana watoto watano, nifanyeje?

    Yatamtokea puani basi, siku akiachwa na katoto alafu mdingi anatafuta chimbo jipya
  7. Sammo Hung

    Aliniambia ana mtoto mmoja lakini baada ya kuwa naye kwenye mahusiano nimegundua ana watoto watano, nifanyeje?

    1) Miaka 25 na hujazaa, wewe ni msichana na si mwanamke 2) Umri wako na wa huyo mdingi haviendani tafuta kijana mwenzako 3) Hata wenzako walidanganywa kama wewe, waka,alishwa na kukimbiwa. Ushauri: Fanya maamuzi haraka kabla mdingi hajapata goli la kuongoza
  8. Sammo Hung

    Nandy kidogo ampasue Harmonize Kizazi

    Aliyekwambia kizazi kipo hapo ni nani,,
Back
Top Bottom