Nguvu za kiume zinaanzia kichwani, ndio nimesema kichwani,,,, utulivu wa akili huleta ufanisi mkubwa kwenye jambo lolote lile. Shughulika na hilo kwanza kisha utaona
1) Miaka 25 na hujazaa, wewe ni msichana na si mwanamke
2) Umri wako na wa huyo mdingi haviendani tafuta kijana mwenzako
3) Hata wenzako walidanganywa kama wewe, waka,alishwa na kukimbiwa.
Ushauri: Fanya maamuzi haraka kabla mdingi hajapata goli la kuongoza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.