Je, unahitaji nyumba yako iwe ya tofauti kwenye sekta ya Tiles?
Usisite kunipa kazi ili uweze kuifurahia nyumba yako zaidi.
Tunapatikana Dar es salaam lakini sehemu yeyote tunaweza kufika na kufanya kazi.
"Nyumba yako Fahari yako"
0676 214 974 /WhatsApp
0714 122 011 /Call
Sent using Jamii...
Lakini nikutoe hofu na shaka tuu boss...
Bei zetu ni nafuu mnooo ukilinganisha na Ushauri utakaopata ili nyumba yako iwe tofaut kidogo...
Ukilinganisha na uaminifu wetu...
Ukilinganisha na usafi narudia tena usafi kaz nyingi zinaonekana sio nzuri kwasababu ya uchafu kunauchafu ni ngumu sana...
Bei ni makubaliano baina ya mimi na wewe boss hvyo nafikiri isingependeza kuwa wazi kabisa maana hakuna bei elekezi kwenye kazi zetu hizi boss wangu....
bei inalingana na eneo la kaz na changamoto zake za hapa na pale...
kwamaana hiyo ingekuwa vizuri kama Ungenitafuta kwa mawasiliano yangu...
Kwa mahitaji ya fundi tiles usisite kunitafuta....
Nyumba yako Fahari yako ifanye iwe ya tofauti kwenye sekta ya Tiles....
0676 214 974 WhatsApp
0714 122 011 Call/txt
Karibu tukuhudumie [emoji120][emoji120][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kawaida yetu watanzania kutetea uov
Tunatabia ya kukatishana tamaa na kukosoana mno
Yani mtu awez kuona jambo jema akakosa baya atalitafuta tuu hata kama ni lauzushi
Sikupenda kauli alio itumia hata Raisi wetu huvaa kofia lakini mimi kuvaa kofia na kuigeuza nyuma imekuwa dhambi
Lakini icho...
Usimjaji mtu kwa vile unamuona muonekano wake tuu
Unaweza ukamuona mtu kavaa mlegezo ukadhani ni muhuni kumbe amevaa vile kwa lengo gulani kwa muda fulani
Unaweza muona Sheikh kanisani afu ukaona kama vile ni mnafiki kumbe uwezi jua ni kwanini yuko pale
But yote kwa yote asante kwa maono yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.