Recent content by samesame

  1. samesame

    Mbowe anisikilize mimi na si yule mzungu, apige magoti chini kwa mama aje tujenge nchi Taifa linahitaji mchango wake

    Yaan aache kumpigia magoyi Mungu akampigie binadamu? Ww utakua sio mzima.
  2. samesame

    Uzalendo wa Rais Samia kwa Taifa

    Hizi data za kutumia 250 milion za kitanzania mwenzetu umezitoa wapi?
  3. samesame

    Walinzi wa Mbowe wadaiwa kutekwa

    Vip mayalla ni hadithi au kweli walitekwa na mmoja mpaka sasa hajulikani alipo? au bado ni kiki?? Tahadhari mahaba yasidi maarif
  4. samesame

    Wanajeshi wastaafu wanaruhusiwa kujiunga na vyama vya Upinzani?

    Ndugu john mbatizwa jibu ni hapana hawaruhusiwi kabisaaaa maana nchi yetu sio ya vyama vingi katika itifaki za kiutawala ila ni ya vyama vingi kwa nje kuwapendezesha mabwana zetu mabeberu! So wanaruhusiwa only ccm chama dola kama kanari k Mmoja wa akawa mwenezi ccm
  5. samesame

    Ukiacha Nyerere, hivi atatokea Rais mwingine kama Mkapa?

    Yes mkapa ndio rais bora kiutendaji kuliko hata nyerere. Hata huu mpango wa miaka mitano mitano tunaotekeleza alianzisha yeye. Big sana hayati Mkapa
  6. samesame

    Watanzania tuwe makini na vyombo vya habari vya Kibeberu. CNN wazusha kukamatwa kwa Freeman Mbowe ni amri ya Rais Samia!

    Bado hawajakuona? Ulijitahidi kwa mwendazake lakn wap[emoji23], kazana ipo siku
  7. samesame

    Viongozi hawa wamesema Hayati Magufuli aliongoza nchi vibaya sana, wewe je?

    Hili swala amewahi kuongelea barafu na mwanakijiji. Mwenye uzi hizi atuletee
  8. samesame

    Viongozi hawa wamesema Hayati Magufuli aliongoza nchi vibaya sana, wewe je?

    Baada ya kutokea kifo cha Hayati Magufuli, kumekuwa na mitizamo tofauti tofauti juu ya uongozi wake. Upande mmoja ukisema Magufuli alikuwa anaongoza nchi vizuri sana wengine wakisema aliongoza nchi vibaya vibaya mno! Hawa hapa ni baadhi ya viongozi wa Serikali na wa Chama cha Mapinduzi...
  9. samesame

    Dkt. Mollel kuondolewa Wizara ya Afya kama Dkt. Ndugulile?

    Ana kontent gani huyu? tafuta interview yake na clouds utajua hakuna mtu mle
  10. samesame

    Askofu Bagonza: Itungwe sheria maalum kujinaisha (Criminalize) vitendo vya kusifia viongozi wa Umma!

    Kuna mada kibao ziliwahi kuongelea hili, wengi walisema jamaa ni kichaa. Kuna mwanakijiji na barafu. Ngoja nizifukunyue nyuz zao
  11. samesame

    Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

    unanunia keshi una hela?? hela ya dawa unakopa than ndege unanunua keshi kwanini usiwe mwehu??
  12. samesame

    Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)

    msiponiletea Silinde sileti maji hapa!! by mwenda zake
  13. samesame

    Dar na Dodoma: Wafanyabiashara walazimishwa kufunga maduka sababu ya msiba wa Hayati Magufuli

    siku moja tutakua huru hata kama sio sisi kizazi chetu
  14. samesame

    Dar na Dodoma: Wafanyabiashara walazimishwa kufunga maduka sababu ya msiba wa Hayati Magufuli

    Katika karne hii 21 taifa linaendeshwa kama enzi za ujima. watu wote tunalazimishwa kufikiri sawa, yaani wanataka woote tuhuzunike. Hii si sawa. watu woote hawa wamefika makazini hawajui cha kufanya baada ya kufika kazini na kuamlishwa kutawanyika. nakulilia Tanzania yangu.
  15. samesame

    Deo Sanga aomba Rais Magufuli aongezewe muda hata asipotaka

    maandamano yatafanyika lini? na mm nataka niwaunge mmono atawale milele! washenzi wakubwa mliifanya hii nchi mali ya ccm
Back
Top Bottom