Lazima ziwe tofauti, huyu ni Magufuli, yule ni Nyerere.Kweli tofauti ni kubwa mno na quotes za Mwalimu Nyerere.
😀 😀 😀 😀 😀Pipo used to dai in ze reki
Umeelewa Heading kweli??Then kukawa na ajira? Au unafuu wa maisha?
Hahaha hii ilikua lini? Natamani nione clip yake"Hili handaki ni kivutio cha utalii hapa Kilosa, unaweza kuja na mpenzi wako ukapiga hata picha hapa"
"Mungu oyeee"kama Rais wangu wa A.town Mh.Lema yuko ndani kwa ajiri ya watanzania wanyonge sasa nini nimejitoa muhanga kuitetea nchi yangu siwezi kuona nchi yangu inateseka kwa ajiri ya mtu mmoja tena mwenye a elimu ya kuunga waje hapa Atow kijenge mwanama waulizie tu swissme ni nani na nitawaeleza nao.
swissme