Recent content by Samcezar

  1. Samcezar

    Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

    "Aoae mwanamke mwenye mtoto na hana akili" Da'vinci' 2024. [emoji1540]Wajukuu zetu watakuwa wanakusoma kwenye somo la sosholojia miaka ya 3024 huko kama mhenga wa miaka hiyo. [emoji23][emoji23][emoji23]
  2. Samcezar

    Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

    Hii point ni nzito sana, inatakiwa ikapelekwe bungeni kujadiliwa. Ila wale wasimbe pale bungeni ni wanafiki sijawahi kupata kuona.
  3. Samcezar

    Inawezekana vipi mtu kuweka roho yake kwenye mti?

    Nendeni sasa au kondoo hawapatikani? Bebeni hata nguruwe muende nao mtaongea na mizimu tu itawaelewa. Na hawa wazee kwann wanapenda kuendekeza mikataba ya siri na mamizimu yao huko maporini? Aaaaagh
  4. Samcezar

    Unahitaji mtoto wa Kambo au Kumuasili?

    Ni mtazamo na fikra zako tu, nadhani wewe ndie unatakiwa kubadilika na kupewa elimu kuhusu matumizi sahihi ya neno kambo.
  5. Samcezar

    Unahitaji mtoto wa Kambo au Kumuasili?

    Acha mizaha na utoto wewe, unadhani hapa tupo kwenye mchezo na mizaha? Watu wanajadili mambo ya msingi unaleta utani utadhani kila sehemu ni sehemu ya utani.
  6. Samcezar

    Unahitaji mtoto wa Kambo au Kumuasili?

    Hii program ni nzuri sana kuwasaidia watoto kupata malezi ya familia na kuwa na nyumbani kwao. Hakuna kitu kibaya kama mtoto kukua akiwa hajui kwao ni wapi, hajui nani wa kumwita baba nani wa kumwita mama. Pongezi sana kwako na kwa wizara kwa kulitambua hili mheshimiwa waziri. Naomba kuongezea...
  7. Samcezar

    Naweza kupata spray ya kuondoa mikwaruzo kwenye gari?

    Wapo mikocheni pale njia kama unakwenda rose garden pale. Au nenda kule barabara ya kawe ulizia gereji ya spring city ya wachina. Utaelekezwa.
  8. Samcezar

    Dawa ya kuzuia magari madogo kuoza, kwa Dar

    Kuwa makini na maji unayooshea gari, inawezekana unatumia maji yenye chumvi.
  9. Samcezar

    Kwanini ni mwiko kumnyima mtu chakula?

    Sio vizuri kumnyima mtu chakula.
  10. Samcezar

    Tofauti ya Kufanya mapenzi, kujamiiana na ngono

    Amekosea wapi sasa hapo na wewe, hatlya wewe unaejua lugha tuambie amekosea wapi? [emoji848]
Back
Top Bottom