Recent content by Samcezar

  1. Samcezar

    Imekula kwako kama mke wako ana Makundi ya Mashosti

    Siku wanaume wakiacha kulia lia, mtatafuta suluhu mbinguni. Subiria muda ni rafiki mzuri sana kwa werevu.
  2. Samcezar

    Nawezaje kumwambia mpenzi wangu au kumshawishi tutumie condom wakati miaka ya nyuma tulishiriki tendo kwa pamoja bila ya kinga?

    Wewe ni mwanamke au mwanaume maana hata hauna adabu unakuja kuomba ushauri bila kujitambulisha. Maswala ya condom huwa yanashauriwa kulingana na jinsia husika.
  3. Samcezar

    Kwanini wanawake wakitupa tamu wanaona wametuhurumia na siyo haki yetu?

    Ukishaonyesha kuwa unahamu sana ya kitu fulani na haupumui bila kukipata unadhani yule anachokimiliki atakuacha salama? Kipotezee uone atakavyobembeleza akuonjeshe.
  4. Samcezar

    Kati ya simu tatu zinazopigwa, mbili ni za mtu anayetaka apewe pesa

    Watu wanajikuta wanaishi kwa bajeti sana siku hizi kiasi kwamba ubinafsi unawavaa wanasahau kuwa mwenye shida akikuomba na unachokidogo cha kutoa basi usianze visingizio. Toa itajulikana mbele. Leo umenipiga tafu 10,000 kesho utanikuta mazingira ya kukusaidia milioni. Ila kwasababu watu...
  5. Samcezar

    Nimepewa habari kuwa mume wangu ananisaliti, naomba ushauri jinsi ya kusahau jambo hili

    Mwanaume akiwa anapesa za mawazo au hana pesa mwanamke akiskia mume wake anajihusisha na mwanamke mwingine utasikia mke anasema "Mume wangu ananisaliti na wanawake huko nje" Ila mwanaume akiwa na pesa zake na mali za kutosha mwanamke wake utasikia anasema, "Wanawake huko nje wanataka kuniibia...
  6. Samcezar

    Transformer la umeme mtaa wa Livingstone na Lindi lageuka kitega uchumi kwa wafanyakazi wa TANESCO

    Hata kwa mtu ambaye hajaenda shule ni rahisi kubaini kuwa hapa kuna mchezo wa kimaslahi unachezwa. Yaani umeme unakatwa katwa hovyo bila sababu, halafu mafuta hapo hapo yanapanda bei, hii imekaaje?
  7. Samcezar

    Transformer la umeme mtaa wa Livingstone na Lindi lageuka kitega uchumi kwa wafanyakazi wa TANESCO

    Ilikuwa ni swala la muda tu, yule mzee umuhimu wake uanze kuonekana.
  8. Samcezar

    Madada poa wanavyoongezeka Ubungo Riverside

    Amesema maelewano so we unaweza pewa huduma kwa 5000 mwenzako 10,000, mwingine akaenda akapewa offer kwa 2000.
  9. Samcezar

    Madada poa wanavyoongezeka Ubungo Riverside

    Kwa upande mwingine huwa tunasema hivi tukiwa na dhamira ya kupenda iendelee ila jiulize jambo moja kuna makahaba wangapi, na je hawa wanafanya hii kitu kwasababu ilikuwapo tangia enzi za Yesu au kwasababu kuna shida katika jamii yetu inayopelekea wanawake kuendesha maisha nje ya mfumo wa...
  10. Samcezar

    Madada poa wanavyoongezeka Ubungo Riverside

    Mmmmmmhmn haya mambo ni mazito sana aisee. Sasa impact yake miaka 10 hadi 20 ijayo. Hizi biashara haramu zinavyomea ina maana hawa wakianza kuzeeka watataka kirecruit damu changa ambayo ni mabinti wachanga so tutaanza mambo ya pimping and Whorehouses hapa Tanzania. Tunamruhusu shetani...
  11. Samcezar

    Picha za Rais Samia zimejaa njia nzima KIA badala kutangaza vivutio vya utalii!

    We haujui yeye ndio kivutio cha utalii?
Back
Top Bottom