Wewe ni mwanamke au mwanaume maana hata hauna adabu unakuja kuomba ushauri bila kujitambulisha.
Maswala ya condom huwa yanashauriwa kulingana na jinsia husika.
Ukishaonyesha kuwa unahamu sana ya kitu fulani na haupumui bila kukipata unadhani yule anachokimiliki atakuacha salama?
Kipotezee uone atakavyobembeleza akuonjeshe.
Watu wanajikuta wanaishi kwa bajeti sana siku hizi kiasi kwamba ubinafsi unawavaa wanasahau kuwa mwenye shida akikuomba na unachokidogo cha kutoa basi usianze visingizio. Toa itajulikana mbele. Leo umenipiga tafu 10,000 kesho utanikuta mazingira ya kukusaidia milioni.
Ila kwasababu watu...
Mwanaume akiwa anapesa za mawazo au hana pesa mwanamke akiskia mume wake anajihusisha na mwanamke mwingine utasikia mke anasema "Mume wangu ananisaliti na wanawake huko nje"
Ila mwanaume akiwa na pesa zake na mali za kutosha mwanamke wake utasikia anasema, "Wanawake huko nje wanataka kuniibia...
Hata kwa mtu ambaye hajaenda shule ni rahisi kubaini kuwa hapa kuna mchezo wa kimaslahi unachezwa. Yaani umeme unakatwa katwa hovyo bila sababu, halafu mafuta hapo hapo yanapanda bei, hii imekaaje?
Kwa upande mwingine huwa tunasema hivi tukiwa na dhamira ya kupenda iendelee ila jiulize jambo moja kuna makahaba wangapi, na je hawa wanafanya hii kitu kwasababu ilikuwapo tangia enzi za Yesu au kwasababu kuna shida katika jamii yetu inayopelekea wanawake kuendesha maisha nje ya mfumo wa...
Mmmmmmhmn haya mambo ni mazito sana aisee. Sasa impact yake miaka 10 hadi 20 ijayo. Hizi biashara haramu zinavyomea ina maana hawa wakianza kuzeeka watataka kirecruit damu changa ambayo ni mabinti wachanga so tutaanza mambo ya pimping and Whorehouses hapa Tanzania.
Tunamruhusu shetani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.