Recent content by sambost

  1. sambost

    Pesa mfukoni ≠ faida: Biashara ni zile zile, kwanini Watu hawadumu?

    Yaaani , Ukikopesha Mteja Akachelewa Kukulipa Ni tatizo Moja Wapo la Kushindwa BIASHARA 👍
  2. sambost

    Nauza nyumba bei 14M Vikindu

    Picha Za Ndani ya Nyumba ?
  3. sambost

    Liquid Asset (FD, Bonds, UTT) v/s Fixed Asset (Nyumba ya Kupangisha)

    Kwenye Nyumba Unapata Faida 2 ● Kodi ● Thamani ya Nyumba ( Kama Ukiamua Kuuza ) Kwa hiyo , Ujenzi wa Nyumba za kupangisha ( Real Estate ) ni Uwekezaji Bora zaidi Kuliko LIQUID ASSET Yeyote ...
  4. sambost

    Liquid Asset (FD, Bonds, UTT) v/s Fixed Asset (Nyumba ya Kupangisha)

    Vipi , Thamani ya Kiwanja Mbona Hujaiweka ?
  5. sambost

    Kuanza biashara ndogo ndogo ukiwa na majukumu ni ngumu mno kutoboa

    Biashara Inahitaji ROHO NGUMU sana , Kutokana na Mifumo ya Biashara za Afrika
  6. sambost

    Elimu Yetu: Kati ya KUKARIRI na KUFIKIRI Kwa nini tunabaki nyuma katika Dunia ya teknolojia na ubunifu

    Je Unaaamini , Mwenye IQ Ndogo Anaweza Kufanya Mambi Makubwa kuliko Mwenye IQ Kubwa ? --- Kitu Muhimu Zaidi , TUNAFELI KWENYE MIFUMO Yetu Ndio TATIZO
  7. sambost

    Marufuku ya ndege zisizo na rubani ni kitendo cha kujilinda kibiashara cha Marekani kwa kisingizio cha usalama

    Mkuuu ,Lakini Mbon Wao China Wamezuia FACEBOOK , INSTAGRAM , Na Vingine Vingi vya Marekani ... Kwa hiyo , Kila Mtu Anamaamuzi yake Kwenye Nchi yake
  8. sambost

    Kwanini mauzo ya biashara yamepungua mwezi Agosti? Kipi kifanyike?

    Naona Unanichagulia Mifano .... Mimi nakupa Mfano wa AZAM Anauza UNGA wa Mahindi Nchi nzima .... Vipi Anapiga Hela kibao.......
  9. sambost

    Kwanini mauzo ya biashara yamepungua mwezi Agosti? Kipi kifanyike?

    Una Maanisha Nini kusema Bidha za Chakula ngumu ....... Kwa hujui kama Kuna Njia za Biashara , na Ukapata Faida ( Pesa ) kibao ... Mfano , KFC si Anauza Chakula Vipi Mbona Anatengeneza faida Kibao .....
  10. sambost

    Kwanini mauzo ya biashara yamepungua mwezi Agosti? Kipi kifanyike?

    Ukiwa Unazalisha Huduma / Bidhaa unakuwa Na Wateja Wengi kwasababu Unakuwa Unaweza Kuuza Nchi Nzima ..... Kwa hiyo , Ukiwa MCHUUZI Unakuwa Na Vita Kubwa Na Wauzaji Wengine , Alafu Bidhaa Yako Ya Uchuuzi ipo Kila Sehemu ( Kuna Duka ) .... Kwa Hiyo Uchuuzi , ikitokea Kuna...
  11. sambost

    Kila kijana ninayemweka dukani anatafuta mwanya kunipiga hata niwajali vipi, nakosa nguvu za kuwaamini vijana wetu hata wa kike

    Nani Aliyekudanganya Mo , Baresa Hawaibiwi ?. Wale wanaibiwa sema , wanamzunguko Mkubwa wa Bidhaa zao kwa hiyo hasara , Inaweza kufidiwa kwa haraka zaidi .
Back
Top Bottom