Recent content by sambost

  1. sambost

    JamiiForums Tanzania Kwa mliopo katikati ya miji na viunga vyake sana sana DAR, MORO na DODOMA kwa mbali fanyeni aka kautafiti mtaona

    Mkuu , Unatatizo kubwa San la AKILI !!! Samahani , Kwa hichi nilichokiandika
  2. sambost

    JamiiForums Tanzania Taifa la Fremu, Boda na Bajaji , Je, Hii ndiyo Ndoto ya Kijana wa Kitanzania?

    Moja ya Mchango BORA Zaidi , Kwenye huu Uzi
  3. sambost

    JamiiForums Tanzania Unadhani kwanini Tanzania hii, safu ya matajiri imetawaliwa na waajemi?

    Mifumo Mibovu ya NCHI ,
  4. sambost

    JamiiForums Tanzania Pesa mfukoni ≠ faida: Biashara ni zile zile, kwanini Watu hawadumu?

    Yaaani , Ukikopesha Mteja Akachelewa Kukulipa Ni tatizo Moja Wapo la Kushindwa BIASHARA 👍
  5. sambost

    JamiiForums Tanzania Nauza nyumba bei 14M Vikindu

    Picha Za Ndani ya Nyumba ?
  6. sambost

    JamiiForums Tanzania Liquid Asset (FD, Bonds, UTT) v/s Fixed Asset (Nyumba ya Kupangisha)

    Kwenye Nyumba Unapata Faida 2 ● Kodi ● Thamani ya Nyumba ( Kama Ukiamua Kuuza ) Kwa hiyo , Ujenzi wa Nyumba za kupangisha ( Real Estate ) ni Uwekezaji Bora zaidi Kuliko LIQUID ASSET Yeyote ...
  7. sambost

    JamiiForums Tanzania Liquid Asset (FD, Bonds, UTT) v/s Fixed Asset (Nyumba ya Kupangisha)

    Vipi , Thamani ya Kiwanja Mbona Hujaiweka ?
  8. sambost

    JamiiForums Tanzania Kuanza biashara ndogo ndogo ukiwa na majukumu ni ngumu mno kutoboa

    Biashara Inahitaji ROHO NGUMU sana , Kutokana na Mifumo ya Biashara za Afrika
  9. sambost

    JamiiForums Tanzania Kutoka kwenye Raha, Utukufu, kuogopwa na kunyenyekewa hadi Mbuzi wa Kafara

    Acha Tusubili ,
  10. sambost

    JamiiForums Tanzania Elimu Yetu: Kati ya KUKARIRI na KUFIKIRI Kwa nini tunabaki nyuma katika Dunia ya teknolojia na ubunifu

    Je Unaaamini , Mwenye IQ Ndogo Anaweza Kufanya Mambi Makubwa kuliko Mwenye IQ Kubwa ? --- Kitu Muhimu Zaidi , TUNAFELI KWENYE MIFUMO Yetu Ndio TATIZO
  11. sambost

    JamiiForums Tanzania Marufuku ya ndege zisizo na rubani ni kitendo cha kujilinda kibiashara cha Marekani kwa kisingizio cha usalama

    Mkuuu ,Lakini Mbon Wao China Wamezuia FACEBOOK , INSTAGRAM , Na Vingine Vingi vya Marekani ... Kwa hiyo , Kila Mtu Anamaamuzi yake Kwenye Nchi yake
  12. sambost

    JamiiForums Tanzania Kwanini mauzo ya biashara yamepungua mwezi Agosti? Kipi kifanyike?

    Naona Unanichagulia Mifano .... Mimi nakupa Mfano wa AZAM Anauza UNGA wa Mahindi Nchi nzima .... Vipi Anapiga Hela kibao.......
  13. sambost

    JamiiForums Tanzania Kwanini mauzo ya biashara yamepungua mwezi Agosti? Kipi kifanyike?

    Una Maanisha Nini kusema Bidha za Chakula ngumu ....... Kwa hujui kama Kuna Njia za Biashara , na Ukapata Faida ( Pesa ) kibao ... Mfano , KFC si Anauza Chakula Vipi Mbona Anatengeneza faida Kibao .....
Back
Top Bottom