Kwenye Nyumba Unapata Faida 2
● Kodi
● Thamani ya Nyumba ( Kama Ukiamua Kuuza )
Kwa hiyo , Ujenzi wa Nyumba za kupangisha ( Real Estate ) ni Uwekezaji Bora zaidi
Kuliko LIQUID ASSET Yeyote ...
Una Maanisha Nini kusema Bidha za Chakula ngumu .......
Kwa hujui kama Kuna Njia za Biashara , na Ukapata Faida ( Pesa ) kibao ...
Mfano , KFC si Anauza Chakula Vipi Mbona Anatengeneza faida Kibao .....
Ukiwa Unazalisha Huduma / Bidhaa unakuwa Na Wateja Wengi kwasababu Unakuwa Unaweza Kuuza Nchi Nzima .....
Kwa hiyo , Ukiwa MCHUUZI Unakuwa Na Vita Kubwa Na Wauzaji Wengine , Alafu Bidhaa Yako Ya Uchuuzi ipo Kila Sehemu ( Kuna Duka ) ....
Kwa Hiyo Uchuuzi , ikitokea Kuna...
Nani Aliyekudanganya Mo , Baresa Hawaibiwi ?.
Wale wanaibiwa sema , wanamzunguko Mkubwa wa Bidhaa zao kwa hiyo hasara , Inaweza kufidiwa kwa haraka zaidi .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.