Recent content by samb senior

  1. samb senior

    Peter Msigwa: Rais kuwaandikia barua Wakuu wa Mikoa kwenye majanga sio sahihi

    Hv unaposema mkuu wa mkoa ni muwakilishi wa Rais unamaanisha nn,anamuwakilisha Rais kwa nani, kama sio watu hao hao waliopata matatizo?sasa ni kosa kwa Rais kumwandikia mkuu wa mkoa barua? Maana hata wao wabunge, madiwank na hata wenyeviti wa Halmashauli bado wapo chini ya mkuu wa mkoa.binafsi...
  2. samb senior

    Peter Msigwa: Rais kuwaandikia barua Wakuu wa Mikoa kwenye majanga sio sahihi

    Haya mambo ndo yananifanya niichukie siasa hasa ile ya kukosoa tu kila kitu tena bila hata kutoa ushauri nini kifanyike, kitu ambacho sikielewi na najiuliza hv ni kwl huyu Rais wetu hakuna jambo jema hata moja alilofanya kiasi cha hao wanaojiita upinzani kumpongeza??? Mi nadhan tufike mahali...
  3. samb senior

    Wanafunzi 33 na walimu 2 waliofariki kwa ajali ya basi Karatu, Arusha wazikwe pamoja. Mnara ujengwe

    Tatizo ni tofauti zetu za kidunia na kutojitambua.laiti tungejua kwa Mungu wote tuko sawa no matter we ni nani hapa Duniani
  4. samb senior

    Hatimae Flora Mbasha awa Flora Kusweka

    Sijui nini kimetokea japo ndo kimeshatokea
Back
Top Bottom