Recent content by Samaya

  1. Samaya

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ipo Mbeya Campus
  2. Samaya

    Hadithi: Madam President

    Sure pia jamaa anajitahid sana kutuma asijepotea tu kama wenzake
  3. Samaya

    Hadithi: Madam President

    Umeanza kupata arosto madame[emoji3][emoji3]
  4. Samaya

    Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

    We ndo hujui kitu ila waliopita USA Boys wanaelewa sijamaanisha USA ya Chuga hii ni Usagara Sec tunaiita Usa Boys kwakua Advance ina Boys tu na ina Hostel mbili moja ndan ya Shule ingine iko Town nako ziko mbili kwenye Compound moja,ipo karibu na hyo bustan ya Uhuru park,so punguza ujuaji bro
  5. Samaya

    Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

    Hope shule ilikua ni USA BOYS kwa Saadan na Chambo
  6. Samaya

    Maadhimisho na Kilele cha Usomaji Quran kufanyika Siku ya Pasaka ni Dharau na Uchokozi kwa Wakristo au ni Utaratibu tu?

    Hizi ishu za dini mlimindigi hata Azam tv na Tamthilia zake,haya sahivi TBC kila baada ya mda wanawatakia watu mfungo mwema wa Ramadhan,kuna vitu vingine unaacha tu vipite,huwezi kumind harufu ya pilau kwa jirani kisa wewe unakula ugali
  7. Samaya

    Maadhimisho na Kilele cha Usomaji Quran kufanyika Siku ya Pasaka ni Dharau na Uchokozi kwa Wakristo au ni Utaratibu tu?

    Pigeni kelee wee rukeni rukeni wee ila hayo mashindano yatafanyika na wala hutasikia hata viongozi wakikemea
  8. Samaya

    True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

    Saa mbili imefika man
  9. Samaya

    True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

    Siku imefika tushatoka church,tunasubria mwendelezo wako
  10. Samaya

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Mnabishana ishu za ajabu wakati Tangazo limesema wazi uwe umepita Jkt kwa miaka miwili ukarudishwa home au upo jkt kwa miaka miwili,sasa mujibu mnaingia wap hapo na miezi yenu 3
  11. Samaya

    Kama una ndoto ya kwenda Ulaya, Marekani, Canada n.k, pitia uzi huu

    Tatizo sisi tuliobahatika kusoma kidogo tunataka kazi za kukaa ofisin tu bila kujishughulisha na mbishe zingne,sahivi namtafuta mwana aniunge kwa wakala wake potelea mbali
  12. Samaya

    Kama una ndoto ya kwenda Ulaya, Marekani, Canada n.k, pitia uzi huu

    Sio lazima hata ule kazi,me nina mwana yupo Qatar ni mlinzi wa supermarket ye ni Mkenya alisoma fresh tu ila akaingia kule kama mtu alyeishia sec,kapiga kaz ukua anatafta michongo kupitia elimu yake now kaajiriwa anakula hela fresh tu kaoa uku tz kwetu,aliwahi niunganisha nikauze supermarket...
  13. Samaya

    Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

    Hongera sana kwa story nzur bro pia hongera kwa kuoa Ugweno though sijajua wife katokea Kifula,Mwaniko,Vuchama,Mangio,Masumbeni,Msangeni,Kikweni,Mriti,Kivisini au Butu na Kambiasimba,ila mpe hi sana
  14. Samaya

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mujibu mzee,nlikua Danger Coy
  15. Samaya

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Boya kumbe tulikua wote kambi moja na OP moja daah sw bana MP Immah hakuwanyaka tu au Dakanyama
Back
Top Bottom