Recent content by samamba oscar

  1. samamba oscar

    Nikikojoa mkojo hauishi moja kwa moja

    Kuna mwanaume Hana tezidume?
  2. samamba oscar

    Nikikojoa mkojo hauishi moja kwa moja

    Kuna magonjwa mengi yanayosababisha mkojo kutomalizika(dribbling) Kwa wanaume,kwenye Figo(mawe kwenye figo) kwenye tezi ya kiume (prostate). maambukizi ya tezi(prostatitis).,saratani ya tezi(prostate cancer) kuvimba Kwa tezi(kibongo wanaita tezidume)ila nikwawatu walioenda age,Kama unaumri chini...
  3. samamba oscar

    Je! Mashine za kunyolea (za saloons) zinaweza kukuambukiza virusi vya UKIMWI?

    Hii mada ya Mashine za saloon inazidi kunilegeza joint nikisubiria miezi mitatu nikapime ambapo salimika yangu ni Mungu aingilie kati.
  4. samamba oscar

    Msaada majibu ya haya maswali

    Duh Asante bro kidogo nimehema maana Leo nisiku ya 9 bado na runny nose kikinipiga kibarid
  5. samamba oscar

    Msaada majibu ya haya maswali

    Nimeikuta google
  6. samamba oscar

    Msaada majibu ya haya maswali

    Mafua yakawaida hudumu Kwa mda gani?
  7. samamba oscar

    Msaada majibu ya haya maswali

    Aise, Ila sijatumia dawa ya mafua kinachonipa hofu hayazibi pua wala kudondoka kiasi chakutumia dawa yapo kawaida tu
  8. samamba oscar

    Msaada majibu ya haya maswali

    1)Kwa Kumuangalia Kwa macho dalili gani unaeza mtambua mwanamke mweupe asiye na upele mahala anaeishi na v.v.u.? 2)kupatwa mafua 1week baada ya maambukiz ya vvu ni 89% Kwa kila MTU je, mafua yake yanatofauti gani naya allergy au mafua ya kawaida? 3)After2week tu unaeza pata dalili Kama...
  9. samamba oscar

    Nimekumbuka kifo nimekosa raha hata kula nimeshindwa

    Mwanadamu hukuumbwa ili uwe na hofu ya kifo ila hofu ya Mungu,ungekuwa unatenda mema na una Mungu ndani sizani kama ungejiwazia kifo kemea ilo nipepo laumauti linakuangaisha, ata bible imeandika wenye hofu za dunia hawataurithi ufalme wa mbinguni, ingawa namimi nipo kwenye hofu Ila Mungu...
  10. samamba oscar

    Nausikilizia mwili wangu Kama simu

    nishatoka kwenye dozi ya pep 2015 kuna msichana alining'ata wakati nikiwaamua ugomvi alikuwa na damu mdomoni bahati nzuri chini ya police alikubali nimuathirika nikaanzishiawa dozi nilvyomaliza nikakutwa mzima. asa limerudi tatizo lilelile
  11. samamba oscar

    Nausikilizia mwili wangu Kama simu

    Asante Kwa kunipa moyo Ila nasafari ya week 8 mbele.
  12. samamba oscar

    Nausikilizia mwili wangu Kama simu

    Asante Ila ningumu sana
Back
Top Bottom