Kuna haja ya kuimulika ATCL, Shirika la Ndege la Taifa.Sasa hivi ratiba zake hazieleweki hadi kufikia hatua ya kuwatelekeza wafasiri bila kuwapa sababu za msingi za kufanya hivyo.
Usiku huu wa tarehe 17 June. 2024 abiria wa ndege namba TC 103 iliyoondoka Mwanza saa 4.00 usiku "wametelekezwa"...
Haikuwa nia yangu kutoa hoja hii, lakini kadiri siku zinavyosonga ndivyo hali inavyozidi kuwa mbaya katika usafiri wa treni zinazoendeshwa na Shirika la Reli Nchini(TRC).
Tunatambua TRC inatoa huduma, hivyo haitakiwi kuwa na ubaguzi kwa wasafiri wanaoendelea kutumia usafiri wa shirika hilo...
Mambo ya sayansi hayo.Mama anapokuwa mjamzito hupewa dawa(chanjo)maalum ya kuzuia virusi alivyo navyo visiingie kwa mtoto.
Ndio maana nawashangaa wanaopinga chanjo ya corona ya kuwaepusha na virusi vya maradhi hayo wakati waathirika wa HIV walikubali chanjo inayowawezezha kuzaa watoto wasio na...
Tunaomba tujuzwe na TANESCO kuna matatizo gani yametokea kwenye mtambo wa luku toka jana jioni mpaka alfajiri hii.
Wananchi tupo kizani nchi nzima kwa kushindwa kununua umeme.
Tunakuomba Waziri wa Umeme Mhe.Medard Kalemani ujitokeze hadharani na kutupa maelezo ya kina juu ya jambo hili.
TANESCO...
Hivi ni nani asiyejua kuwa taifa limo kwenye maombolezo ya msiba wa mpendwa wetu Dk.John Pombe Magufuli? Hivi mtoa hoja ungekuwa na msiba ndani mwako na pasaka ikakukuta, ungeshughulika na msiba au ungekwenda kusherehekea pasaka?
Tambua serikali inathamini uhuru wa kuabudu na inaheshimu dini...
Ni wazi kwamba kujiondoa kwa Meya wa Jiji la Arusha, Bw. Kalist Laizer na kujiunga na CCM kuna malengo maalum ya kuizika CHADEMA katika Jiji hilo.
Laizer ameandaliwa na anajipanga kuwa Mbunge mpya wa jimbo hilo mwaka 2020 kupitia chama kubwa CCM. Mwanasiasa sio mwenzio. Chukua tahadhari!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.