Akikujibu unitag pleaseBaada ya muda gani tutarajie kuona madhara ?
Swala la kusema anayetaka achome asiyetaka asfanye Time Will tell itafika mda hutaruhusiwa kwenda mwanza au mkoa wowote bila pass ya COVID-19 vaccine ....so kusema ni hiari sio kwel muda utaongea
Watu weusi ni viumbe vya ajabuajabu sana katika fikra na akili zao
Hata wakisoma bado ujinga na ushamba haviwaishi
Mtu mwenye akili anawezaje kususpect kitu kama hicho?
Hizo ni propaganda za kitoto.Tuache ujingaChukua tahadhari binafsi kwa kuvaa barakoa kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka pia ukae mbali na mikusanyiko mikubwa isiyo ya lazima.
Tuendelee na mada.
Kwa siku kadhaa zilizopita nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali ya raia wakiuliza kuhusiana na uhalali wa chanjo ya Covid19 na wengine kusema imechukua kipindi kifupi sana cha ugunduzi hata bila majaribio kadhaa kupitia wanyama, makundi ya binadamu mpaka kuhidhinishwa kuwa kinga hii inafaa kutumiwa duniani kote.
Pamoja na yote kumekuwepo na hisia za ajabu kwa raia wema kushtukia viongozi wakuu wa mataifa kadhaa duniani kuwa wanapewa chanjo ili kufisha na kuhadaa wananchi kupitia luninga.
Moja ya hadaa hiyo ni pale wanapodungwa sindano ya chanjo kuwa, ile sindano na bomba lake si halisi na kinachofanyika ni kuonyesha wananchi wao kuwa wamepokea japo si kweli.
Hapa chini kuna video fupi za aina ya sindano na jinsi inavyofanya kazi kuficha uhalisia wa tukio.
View attachment 1873320
View attachment 1873321
Ukiachana na video hizo juu kuna clip hii hapa chini, bado haijawa wazi kwa nini sindano imeshindikana kutolewa kifuniko chake ili iweze kuingia moja kwa moja kwa mpewa chanjo ila inatumika na kufichwa au kuondoa kamera watu wasijue kilichoendelea.
View attachment 1873327
Karibu kwa mjadala...
Madhara yanaonekana baada ya muda gani?Nani kasema madhara yataonekana papo kwa hapo?.
Ni kweli usemayo, tukumbuke tulipoambiwa tukachukue vitambulisho vya uraia wako walio pinga, wengine tuliwahi first bach hatukuulizwa vyeti vyetu wala vya wazazi wala babu na bibi, lakini leo hii ukifuatilia utaambiwa ulete makorokoro kibao na wengine na hongo pia na mwisho wa siku unapewa namba!,Swala la kusema anayetaka achome asiyetaka asfanye Time Will tell itafika mda hutaruhusiwa kwenda mwanza au mkoa wowote bila pass ya COVID-19 vaccine ....so kusema ni hiari sio kwel muda utaongea
Yaani kaondoka tu magufuli, haya mambo yamelipuka tena,wkt watu tulishayasahau.Hatari sanaChukua tahadhari binafsi kwa kuvaa barakoa kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka pia ukae mbali na mikusanyiko mikubwa isiyo ya lazima.
Tuendelee na mada.
Kwa siku kadhaa zilizopita nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali ya raia wakiuliza kuhusiana na uhalali wa chanjo ya Covid19 na wengine kusema imechukua kipindi kifupi sana cha ugunduzi hata bila majaribio kadhaa kupitia wanyama, makundi ya binadamu mpaka kuhidhinishwa kuwa kinga hii inafaa kutumiwa duniani kote.
Pamoja na yote kumekuwepo na hisia za ajabu kwa raia wema kushtukia viongozi wakuu wa mataifa kadhaa duniani kuwa wanapewa chanjo ili kufisha na kuhadaa wananchi kupitia luninga.
Moja ya hadaa hiyo ni pale wanapodungwa sindano ya chanjo kuwa, ile sindano na bomba lake si halisi na kinachofanyika ni kuonyesha wananchi wao kuwa wamepokea japo si kweli.
Hapa chini kuna video fupi za aina ya sindano na jinsi inavyofanya kazi kuficha uhalisia wa tukio.
View attachment 1873320
View attachment 1873321
Ukiachana na video hizo juu kuna clip hii hapa chini, bado haijawa wazi kwa nini sindano imeshindikana kutolewa kifuniko chake ili iweze kuingia moja kwa moja kwa mpewa chanjo ila inatumika na kufichwa au kuondoa kamera watu wasijue kilichoendelea.
View attachment 1873327
Karibu kwa mjadala...
RIPWeek 2 zilizopita mimi, mama, baba na wadogo zngu tumechoma chanjo hatujapata tatizo lolote mpk sasa. Ile sku ya kwanza kuchoma mama tu ndo kichwa kilimuuma na hii kwasababu ye mgonjwa mgonjwa tuliobaki hatujasumbuliwa na chochote hadi leo
Unaweza kukuta ww ndio mawazo yako yameganda zaidi kama cement.....Wabongo sijuhi Nani katuloga jamani mbona tuna mawazo MGANDO sana
Hapo hakuna uongo wowote
Chanjo ya ina gani unaposema umepqta chanjo taja ainaWeek 2 zilizopita mimi, mama, baba na wadogo zngu tumechoma chanjo hatujapata tatizo lolote mpk sasa. Ile sku ya kwanza kuchoma mama tu ndo kichwa kilimuuma na hii kwasababu ye mgonjwa mgonjwa tuliobaki hatujasumbuliwa na chochote hadi leo
In advance
Basi kama kote unaona ni shida bora UFE, tu ndio utakuwa umewakomoa!!Swala la kusema anayetaka achome asiyetaka asfanye Time Will tell itafika mda hutaruhusiwa kwenda mwanza au mkoa wowote bila pass ya COVID-19 vaccine ....so kusema ni hiari sio kwel muda utaongea
Kwa umri mkubwa na majukumu mengi waliyonayo viongozi wetu wa ngazi za juu Ni Hatari mno kuwachanja Chanjo hizi. Tunaweza kuwapoteza hata machozi tunayomlilia JPM bado hayajatuisha.Chukua tahadhari binafsi kwa kuvaa barakoa kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka pia ukae mbali na mikusanyiko mikubwa isiyo ya lazima.
Tuendelee na mada.
Kwa siku kadhaa zilizopita nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali ya raia wakiuliza kuhusiana na uhalali wa chanjo ya Covid19 na wengine kusema imechukua kipindi kifupi sana cha ugunduzi hata bila majaribio kadhaa kupitia wanyama, makundi ya binadamu mpaka kuhidhinishwa kuwa kinga hii inafaa kutumiwa duniani kote.
Pamoja na yote kumekuwepo na hisia za ajabu kwa raia wema kushtukia viongozi wakuu wa mataifa kadhaa duniani kuwa wanapewa chanjo ili kufisha na kuhadaa wananchi kupitia luninga.
Moja ya hadaa hiyo ni pale wanapodungwa sindano ya chanjo kuwa, ile sindano na bomba lake si halisi na kinachofanyika ni kuonyesha wananchi wao kuwa wamepokea japo si kweli.
Hapa chini kuna video fupi za aina ya sindano na jinsi inavyofanya kazi kuficha uhalisia wa tukio.
View attachment 1873320
View attachment 1873321
Ukiachana na video hizo juu kuna clip hii hapa chini, bado haijawa wazi kwa nini sindano imeshindikana kutolewa kifuniko chake ili iweze kuingia moja kwa moja kwa mpewa chanjo ila inatumika na kufichwa au kuondoa kamera watu wasijue kilichoendelea.
View attachment 1873327
Karibu kwa mjadala...