Recent content by SAMAHONJE

  1. S

    JamiiForums Tanzania Ujinga wakulazimishwa kuvaa sare za ccm kwa walimu mashuleni

    Nashangaa hii jumuiya ya wazazi inakoelekea ni kama inawendawazimu kwa tabia iliyoanzishwa ya kuanza kugombana na walimu kwa kuwalazimisha kununua sare za ccm na kuzivaa wakati wa kufundisha kwa lazima si haki kabisa ya mfanyakazi anayehudumia taifa letu bila kujali itikadi za vyama..kwa tabia...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Waalimu shule binafsi na serikali waanza kuvutana

    We zyapunga
  3. S

    JamiiForums Tanzania Waalimu shule binafsi na serikali waanza kuvutana

    Huu ni usanii ,yaani ukiwa shule binafsi ww si mwaminifu mara ukjiunga na shule za serikali unageuka na kuwa mwaminifu ,huu ni unyanyasaji wa walimu yaani chuo tusome aina moja lakini kwenye kusimamia wao waaminifu sisi hapana.mimi sipendiiiiii ubaguzi huu .je hiyo tsd namba inaweza kumbadili...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Vurugu za wafugaji ktk kuharibu mazingira

    Inanishangaza kuona hawa wafugaji na mifugo yao wanavyotaka kufanya Tanzania iwe jangwa kwani wanasambaa kama viwavi jeshi sehemu zote zenye rutuba Tanzania..Wafugaji hawa ambao ni wasukuma mazingira ya kwao yaani shinyanga kwa sasa ni jangwa na wanaendelea kuharibu mazingira mengine...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Shule za jumuiya wazazi zaelekea kufa hasa

    Upandishwaji wa ada kiholela bila kuangalia miundo mbinu ya shule zao ni kuingiza siasa ktk elimu.Naona viongozi wa jumuiya ya wazazi ni kuangalia fedha ziingiazo siyo taaluma.Ninyi viongozi kama hamusimamii taaluma na mnapandisha ada kiholela hata fedha iliyokuwa inapatikana mtakosa.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kuanguka kwa shule za jumuiya ya wazazi tanzania

    muelekeo wa shule za jumuiya ya wazazi Tanzania si Mzuri kwani naona siasa nyingi zinazidi kutawala utendaji kazi .kwanza kuna tetesi kuwa ada itapanda na kuwa 800,ooo huu ni usanii kwani kuna shule ktk hizo hazina hadhi hiyo.Ninawasiwasi na viongozi wa jumuiya kuwa munaharibu hizo shule na...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Padri Mapunda: Siogopi tindikali, kung'olewa meno au kupigwa risas, Ccm watang'oka 2015!

    Katika uchaguzi mkuu 2010 kanisa katoliki mlituangusha saaaana ...nadhani sasa mnavuna mlichopanda
  8. S

    JamiiForums Tanzania Mh. Deo Filikunjombe agawa pikipiki kwa madiwani wote wa halmashauri ya Ludewa

    HUYO NI MSANIII:rain:
Back
Top Bottom