Recent content by Samadebe

  1. Samadebe

    Alikataa kila kitu kwa hiari yake… miaka 4 baadaye anarudi Mahakamani kuidai alichokataa.. Nautua mzigo

    Hakuna sehemu nimekataa mimi sio dhaifu au andiko langu limeonesha kujimwambafai kama mimi ni chuma cha reli..!
  2. Samadebe

    Alikataa kila kitu kwa hiari yake… miaka 4 baadaye anarudi Mahakamani kuidai alichokataa.. Nautua mzigo

    Mimi nimeamua kupigana vita baridi kuacha mali kwenda kufocus kutafuta mali, muda wa kushinda mahakamani kusimama mbele ya hakimu na kupigazana kelele na mtu nina watoto nae huo u'strong nakuachia wewe Mkuu.. Nyumba nilijenga kwa nguvu zangu na naamini nguvu ya kujenga hata mbili nyingine ninazo...
  3. Samadebe

    Alikataa kila kitu kwa hiari yake… miaka 4 baadaye anarudi Mahakamani kuidai alichokataa.. Nautua mzigo

    Kashi Kashi za mambo ya Ndoa zilianza tangu zamani, kuna mabalaa wamefanya Kweli kabisa. Nimenyoosha mikono
  4. Samadebe

    Alikataa kila kitu kwa hiari yake… miaka 4 baadaye anarudi Mahakamani kuidai alichokataa.. Nautua mzigo

    Unaweza kudhani ni zoba ila ukiingia kwenye field ya ndoa utaelewa..
  5. Samadebe

    Alikataa kila kitu kwa hiari yake… miaka 4 baadaye anarudi Mahakamani kuidai alichokataa.. Nautua mzigo

    Baada ya Miaka 4 ya purukushani na aliyewahi kuwa Mke wangu Leo nimeamua kwa hiari yangu kuweka silaha chini na focus yangu iwe kwenye kuboresha maisha yangu na kizazi changu, nimeamua kumtumia ujumbe hapo chini. "Ulinambia wazi kwa kinywa chako kuwa nimeshindwa kulea watoto, hata ukasema ‘kila...
  6. Samadebe

    Kampuni ya MOFAT ya Tanzania yapewa tenda ya kuendesha Mwendokasi kipande cha Gerezani-Mbagala kwa miaka 12

    Mbona tunaoneshwa picha za mabasi ya Golden Dragon na tuliambiwa basi Scania na yanatumia gesi.. Itoshe kusema mnatuchanganya wakazi wa Mbagala hizi sarakasi zinatosha, mtuambie lini tutapanda hayo magari..
  7. Samadebe

    Tukutane hapa tuliowahi kushambuliwa, tupe ushuhuda ulipona vipi? Ilikuwaje?

    Jamaa atakuwa mmasai tu, wakishapandisha mori wanakuwa viumbe wengine..!
  8. Samadebe

    Rais Samia apokea gawio nono la TSh. Tril 1.28, ongezeko la 68% kutoka Taasisi na Mashirika ya Umma

    Ni wazi Kwa gawio alilopokea Samia anaenda kuwa tajiri wa Taifa.
  9. Samadebe

    PreGE2025 Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti achafukwa, asema hadhi ya Heche ni kukamatwa na mgambo sio polisi, aahidi kumpelekea moto akigusa Kisarawe

    Hali aliyokuwa nayo DC 'mpeche mpeche' na kauli anazotoa wakati mwingine unaishia kucheka Tu😃
  10. Samadebe

    Natafuta Mbuzi bora wa Nyama Madume aina ya Savanna na Boar hapa Tanzania

    Mkuu, nimepitia comment zako kwenye huu Uzi ni wazi wewe ni mwema Sana na mwenye roho 'ya kila mtu apate'. Umenifanya nitamani kufuga Mbuzi, natamani nije nikutembelee nije nijifunze kwa vitendo.
Back
Top Bottom