Mm nataka niache nilianza nikiwa form 3 2015 ad now natamani kutoka lakin nakwama nafikilia niache kutumia smart phone
Kunasiku nilipata dem nikapiga bao moja mzigo ukagoma ase nililia xx rasminatangaza nataka kuacha na sim nauza kama mtu anataka nimuuzie tu maana sim ndo tatizo
Natamani siku moja niamke nisahau kabisa kuusu huu uchafu hadi nafikiria solution pekee ya kuniweke huru nitumie simu ya batan.
Nifanye nini wana nzengo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.