Wewe unaishi mwezini au hapahapa duniani? Unajua kuna maelezo mengine ukiyatoa watu wanakushangaa. Ina maana tuhuma chidi ya aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Armeru ambaye naye baada ya kubanwa alikiri kuwa pesa anazo na akamwalika na mbunge Nasari akachukue, bado unakataa kuwa ccm haiwahongi...
akina Mbiwe wabadilike waacha e na siasa nyepesinyepesi. Kama wameishiwa mbinu Wanapaswa kurudi kwa wanachama wao ili wawashauri kuhusu nini kifajyike.
Dah!! Sina hakika kama k ina uhusiano na elfu. Lakini kama yuko serious na anachokifsnya alipaswa kuwa bayana zaidi maana unaweza kudhani anamaanisha *kwacha* yaani pesa ya zambia au malawi.
Nyalandu ameonesha njia na bila shaka wale wanaosema kuwa walihamia ccm kutoka chadema ili kuunga mkono juhudi za JPM itabidi wajitafakari kuwa hizo juhudi waliziona vipi wakiwa madiwani lakini Nyalandu asizione akiwa mbunge? Ama kweli siasa ni akili za kuambiwa ambazo kila mara unapaswa...
Tuliambiwa "wamekubali watalipa" tukasubiri kulipwa tutaishia kwenye majadiliano. Sasa jsna tukaambiwa tutapata kishika uchunba ( sijui hapo mchumba nani) milioni dola 300. Lakini hakuna mahali popote kwenye mkataba imeandikwa. Sasa wale walioshangilia walikuwa wanajua wanachokishangilia kweli...
Wewe si unaandika kwa ajili ya kuelimisha jamii au unaandika ili usifiwe? We chapa kazi. Sasa ukiaga ndo watalike na kucomment?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Huyo ni mpagani mambo ya watumishi wa Mungu atayajua saa ngapi? Ana neno moja tu nalo ni mtumikie kafiri upate mradi wako. Akishapata nradi wake wala hutamsikia tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.