Recent content by salumsimba12345

  1. salumsimba12345

    Biashara ya chupi hapa Dar itanitoa?

    Kuna biashara nyingine zimejificha zinahitaji jicho la tatu.. hapa nakusudia huko kuthink out of the box.... kama bakhresa anafanikiwa kwa kuuza biscuti ya mia 2 au moo kwa kibiriti cha shilingi hamsini ,,,, mimi na wewe tunadhani ni lazima tuuze bidhaa za mamilioni come on .....hatutaweza kuwa...
  2. salumsimba12345

    Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

    BIASHARA: wadau naomba msaada wa kujuzwa na faida, changamoto, wapi mitapata bidhaa ya BIASHARA YA KUUZA JEZI HIZI ZINAZOMWAGWA KARIAKOO SI ORIGINALI
  3. salumsimba12345

    Yajue masuala mbalimbali kuhusu Biashara ya kuuza Juisi ya matunda ya aina mbalimbali

    Kiukweli biashara ya uuzaj matunda inalipa sana kama utakuwa upo makini na kujali kile unachokifanya Aliko Dangote aliwahi kusema "Start small grow Big" pia tembelea fursamiamia - YouTube kujifunza mambo mbali mbali ya ujasiriamali
  4. salumsimba12345

    Harmonize aachia video ya ngoma mpya inayoitwa 'Atarudi'

    All in all tuwe wazalendo Wa kazi za nyumbani,
Back
Top Bottom