Recent content by salophamisimoh

  1. S

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais wa TAHLISO: Wanafunzi vyuo vikuu tutashiriki uchaguzi, Instagram Facebook na X sio Tume Huru ya Uchaguzi

    usituukumu ndugu ni vile yupo gizani ajui tabu wanayopitia wanachuo wenye kutaman mabadiliko yani had tunasahau kama sie ni watanzania au wakimbizi nchini
  2. S

    JamiiForums Tanzania Vodacom: Kuna watu ndani ya system wana wahujumu ndani ya siku hizi mbili mabando yanakatwa kinyume na utaratibu

    ndugu hama tu ila voda nawapa shikamoo wanatunyoosha
  3. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: umuhimu wa mfumu huru shirikishi baina ya serikali na wasomi kwa maendeleo ya taifa

    Kujenga Taifa kwa Ushirikiano: Umuhimu wa Mfumo Shirikishi kati ya Wasomi na Viongozi wa Serikali Utangulizi Katika karne ya 21, maendeleo ya taifa hayategemei nguvu kazi pekee, bali yanahitaji mwelekeo wa kitaalamu, sera thabiti, na matumizi ya maarifa ya kisasa. Taifa x linakumbwa na...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Nishauri: Mke wangu kanijibu yeye ni mrembo, anatongozwa kila siku na kunambia maisha anayaweza sio lazima kuwa na mimi

    kama pia ajajenga hilo Endo alikua amepanga abadili uelekeo akapange sehemu nyingine ikiwezekana
  5. S

    JamiiForums Tanzania Gavana wa BoT: Deni la Taifa ni Tsh Trilioni 100, linazidi kukua japo bado linahimilika

    nchi ijifunze kutumia rasilimali logic ya nin wee ushawahi ona wap nchi ikawa daily ni kukopa tu au ndo lazima wote tucheze mapambio wanayotaka wao
  6. S

    JamiiForums Tanzania He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    Kwa mujibu wa imani ya Kiislamu ya jadi, hakuna Aya wala Surah tukufu zilizoondolewa kwenye Qur’an wakati wa usawazishaji wa Khalifa Uthman. Kilichofanywa na Uthman hakikuwa kuondoa sehemu za Qur’an, bali ilikuwa ni kuondoa tofauti katika namna ya kusoma na kuandika, ili kuhakikisha umoja wa...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Tupazeni sauti zetu ukarabati hewa uwanja wa Mkapa

    unakarabati miaka 100
  8. S

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

    mungu wa muislam si wa yule wa wahindi, sanam,wanyama na wala Hana utatu itoshe kusema ninyi mna din yenu nami nina dini yangu
  9. S

    JamiiForums Tanzania Gavana wa BoT: Deni la Taifa ni Tsh Trilioni 100, linazidi kukua japo bado linahimilika

    kwanza kuna ulazima wa kuendelea kukopa daily kama hili taifa halina rasilimali zake au ndo vile wameshindwa kujiendesha bila mikopo kutoka nje ifike mahali tuwe wazalendo kwa kutumia rasilimali zetu wenyewe kujenga taifa vitu vinawezekana ila wanahitajika watu wenye huo moyo wa kusimamia...
  10. S

    JamiiForums Tanzania UFAFANUZI juu ya Deni la Taifa na namna Rais Samia alivyotumia vizuri kila Senti aliyokopa katika Miradi ya Maendeleo

    kwanza taifa haliwezi jiendesha bila kukopa kila wakat
  11. S

    JamiiForums Tanzania Arafat Haji: Yanga haitocheza mechi nyingine ya Derby zaidi ya hii ya March 8 katika msimu wa 2024/2025

    ngoja wawekewe mgeni rasmi awe kiongoz mkubwa serikalini hata prime minister tu kama wanaubavu wa kugomea mechi
Back
Top Bottom