Recent content by Salma Mustapher

  1. S

    Naombeni ushauri nahisi nilijidanganya kwa huyu Binti

    Pole sana ,ilaa ndoo ukubwa nahata hvy ndomana pakawa namawili mawili duniani,Mfano :mrefu kwa mfupi,mwanaume na mwanamke . So pg moyo konde tuuu,nakama Unahitaji kulipiza ckushauri kwa maana hy,ww pia utakuja kuwa na wtt mchanganyiko so nawakike akawepo uwezi jua ikaja ikawa vipi.so ww potezea...
  2. S

    Naombeni ushauri nahisi nilijidanganya kwa huyu Binti

    Duuuuh! Kwl nyie mnaumia ilaaa wanawake mnao waumiza nyie hamjioni kama nyie co watu pia acheni hayo bwn wote hapo co watu [emoji136]
  3. S

    Naombeni ushauri nahisi nilijidanganya kwa huyu Binti

    [emoji113] Daaaaaaah! Co wote bwn.
  4. S

    Jmn karibuni sanaa zakipekee naninafuu mnoo madela hayo.

    Kwa bei nafuu kuanzia elfu 10/20 Izo za chini ni kuanzia elfu 25 .kwa sherehe hata kutokea za cku mchana ata kushindia ni mnunuzi tuu karibuni sanaa.
  5. S

    Kwa wale wanaopendelea nguo zakipekee bila mfanano karibuni hapa .

    Kwa bei nafuu tuuu . Hapo kuna za kumi na tano mpk ishirini zipo hapo jmn karibuni sana nipo dar,
  6. S

    Napokea wageni wa ndani na nje (tourguard)

    Mtanisamehe nilikosea hapo nawala ckujua asanteni
  7. S

    Natafuta kazi stationary

    Labda unaweza ukanipa namba zako za WhatsApp nikutafute sasa
  8. S

    Natafuta kazi stationary

    Atakaye hitaji mtu wa kazi hy apo juu nipo ataniachia namba zake ,ninauzoefu wa miaka 2 napia nidesginer mdg mdg pia nipo dar.
Back
Top Bottom