Recent content by Salimsokoro

  1. S

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Kagasheki jembe anastahili wizara.
  2. S

    Rais Magufuli, Naona Changamoto na mtihani mgumu sana mbele yako

    Wewe ulitakaje?mbona UKAWA hamueleweki?Magufuli yupo kazini ulitaka ccm wafanyeje?Hebu tumia akili hata za kuzaliwa kama shule imekupita.
  3. S

    Lowassa leo kuibua mazito

    Hawana jipya la msingi wakajipange upya.Maisha yaende.
  4. S

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Mbona wamuombea kazi?mwenyewe alisema akishindwa anaenda kuchunga ng'ombe Monduli.Sasa kazi ya nn?JPM anajua mwenyewe nani anafaa kuwa nae katika kazi maama slogan yake ya "HAPA NI KAZI TU"Mh.Lowassa hawezi.
  5. S

    Sitta: Nikikatwa uspika nitakimbilia mahakamani kufungua kesi

    Anao uhuru wa kugombea na ameona anatosha na uwezo anao.Big up mzee Sitta.
  6. S

    Huyu mke wa mpangaji mwenzangu simuelewi

    Mbwa hafundishwi kung'ata.Hata hivyo pole sana jitahidi ushinde majaribu
  7. S

    Rais Magufuli amsimamisha kazi Mkurugenzi Muhimbili

    Watanzania wamezoea kufanyakazi kwa mazoea,acha mh.aanze timuatimua italeta kher.
  8. S

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    True guy this man is so smart,we need all to support him.
  9. S

    Rais Kikwete afanya uteuzi wa Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu watano wapya

    Katiba inasemaje kuhusu uteuzi?tusome kwanza halafu tu coment,Watanzania hodari sana wa kukariri.Tuwe makini jamani.
  10. S

    Magufuli kuibuka kidedea hapo kesho aungwa mkono na Upinzani

    Hayo ndio maneno,mambo yote kesho.
  11. S

    Yaliyojiri: Mkutano wa kufunga kampeni za CHADEMA - Jangwani, Dar - Okt 24, 2015

    Matokeo ya kampeni ni 25,10,2015.Vumilianeni tu maisha yataendelea baada ya uchaguzi.Na undugu,ujamaa na urafiki vitaendelea.
Back
Top Bottom