Kama ni kweli, imethibitka basi watu wa dizaini hii mh! ni wengi sana katika hi siri kali. jamani wapeni nafasi za uongozi watu waliosoma na waadilifu sio kupeana vyeo kwa kujuana. WAPENI WATAALAM NA WAAMINIFU ILI TUPIGE HATUA.
watu wa namna hii hata nchi ibarikiwe mvua ya mafuta kila mkoa basi...
Digitali yakera...tena inakera!!!
Mimi binafsi sina hamu ya kuangalia tv siku hizi coz unaweza kuwa na hamu kuangalia program fulani lakini yanazuka matatizo yafuatayo:
a) picha unaziona kama zilizovaa sura bandia au pengine kupata ajali.
b) program kwa kila dakika moja inanasa mara tano
c)...
ila matokeo yanuma sana! hivi kwanini vijana wetu wanafeli sana, hivi ni kwanini lakini au shoo zinakuwa nyingi sana.... inauma! ukiangalia wengi wao ni watoto wa kajamba nani, aaaaaahhhh mhhh inauma sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.