Tatizo sio Mboe wala Mange Kimambi tatizo ni serikali ya chama cha mapinduzi na mipango mibovu isio tekelezeka kama serikali imesema itapeleka mikataba ya madini Bungeni alafu haikupeleka tatizo ni Mboe na Mange kimambi? Kama serikali haina majibu kwa walipa kodi tilion 1.5 zipo wap? Kama...
Kilasiku nakumbuka ule wimbo wao ccm ni ileile hawajakosea hata kidogo hivi tayari wanajua watanzania wemesha sahau kwamba serikali ya awamu ya 5 ilisema itapeka mikataba ya madini bungeni na kumbuka mh Lissu alisema sio mara ya kwanza nyinyi wa bunge wa ccm kuambiwa mikataba ya madini italetwa...
Sio siri za serikali ni habari coz siri ni kulinda rasilimali zetu kwa nguvu zote na mipaka ya nchi yetu na mbinu za jeshi letu la ulinzi sio kuficha maovu ya serikali nawaomba wanao vujisha wavujishe tu coz ili ifanyekazi na ikosolewe sio kuficha ujinga Musiba hajitambui wajipendekeza tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.