Recent content by salim mvungi

  1. S

    Askari shupavu akifa, mapambano hayakomi

    Mafisadi wa upinzani wanaitwa askari shupavu .wanawahadaa watanzania nchi nxima na wimbo wa ufisadi .sasa wameingiza ufisadi rasmi cdm ni aibu sana.hakuna vita ya kusema adui ni msafi
  2. S

    WanaCCM, na wafuasi wa Lowassa, mamilioni kuhamia CHADEMA wiki ijayo

    Ulaghai na utapeli wa chadema juu ya ufisadi ni upofu wa siasa na demkrasia.hakuna ukombozi wa kweli ni utapeli mtupu
  3. S

    Hatari ya mafanikio - CHADEMA/UKAWA & Lowassa

    Chadema na story ya ufisadi ni ulaghai na utapeli mkubwa kwa watanzania
  4. S

    Ni lini CHADEMA umegeuka kuwa dhehebu la dini?

    Chadema ni ulaghai mtupu dhidi ya ufisadi
  5. S

    Lema: Tutapokea kigogo wa CCM

    Lema tubia kwa mungu kuwaita watu mafisadi na leo unawapigia magoti waje chadema.siasa za bongo ni maslahi binafsi
  6. S

    Godbless Lema anashikiliwa na jeshi la Polisi Arusha

    Kafanya nini tena? Kituo gani?
Back
Top Bottom