Wewe ndo unajaziba wala si mimi kwa sababu hadithi zipo na ayaati zipo ambazo zinadhibitisha yeyote atakaezusha jambi lolote katika dini ya allah makazi yake ni motoni mimi nanukuu vitabu su maneno yangu binafsi
Ni sawa kabisa jambo lolote katika ulimwengu huu ni haramu mpaka itakapokuja ayaati au hadithi mimi sasa nasema maulidi ni haramu leta sasa ayati au hadihi ambayo imekuja kuharalisha
Maulidi
Unajua vitu hivi haviitaji hasira wala kupaniki kama una dalili yaani ushahidi wa ayaati au hadithi au maneno ya mwanachuoni au kama kuna mwanachuoni kandika kitabu tuoneshe hatutaki maneno yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.