Majuto ni noma kama unakumbuka enzi zile awanaigiza na mzee small channel 10 walitisha sana napenda kuwashauri wasanii wadogo kufuata nyayo za huyu mzee(king majuto). watafika mbali sababu njia tayari wamechongewa na majuto
Siyo lazima ukiwa na jina basi ndio umemaliza kila kitu ni mungu tuu ndiye mpangaji wa yote kumbuka hiyo ndio comedian mkongwe mwanaharakati na alianza kuigiza kwenye jukwaa kabla ya TV au VIDEO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.