Chadema waliihujumu sana NCCR- Mageuzi labda Kama hujui tu, katika majimbo yote waliyopewa NCCR Chadema walifanya fitina na fujo ikiwa ni pamoja kuwawekea wagombea kinyume kabisa na maafikiano ya Ukawa
Hali hii ilipelekea hujuma kubwa na kilichofuata NCCR ilipoteza majimbo, Sasa malipo ni hapa...
Muulize Makamu Mwenyekiti aliyechaguliwa kwa njia ya mtandao mpaka Sasa aongoza wote waliokuwepo katika eneo la uchaguzi akiwa huko huko
Au muulize Mwamba Mwenye wasaidizi wawili wavamia magereza
Sent using Jamii Forums mobile app
Sera ya Chadema ya Kupinga kila kitu na kuishitaki Serikali kwa Mataifa makubwa hatimaye imesababisha Wananchi kukichoka chama hiki na kuanza kukiadhibu kwa hasira
Chadema kinaadhibu kwa sababu kimekoda uzalendo, kimekuwa chama kibaraka na kimejigeuza kutoka chama Cha Upinzani na kuwa chama Cha...
Kazi ya Kwanza anayofanya Mhe. Mbatia ni kuwang'oa Chadema katika nafasi ya kambi rasmi halafu hatua ya pili ni kuchukua nchi, hiyo ndo mipango
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.