goggles
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,417
- 2,356
Wewe unamjua kwa kina Mabere Nyamcho Marando? Iache CCM iitwe CCM.Mabere Marando hawezi kukubali kwenda kwenye kikundi kilichokodiwa na CCM kuvuruga upinzani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unamjua kwa kina Mabere Nyamcho Marando? Iache CCM iitwe CCM.Mabere Marando hawezi kukubali kwenda kwenye kikundi kilichokodiwa na CCM kuvuruga upinzani.
Mimi ni Sweettablet. Sina haja ya kuwa na ID nyingi. By the way, wewe unazo ngapi vile?kumbe una ID nyingi mara marry ngowi ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ndoto hii inchi sio Libya na Iraq hapa kila baada ya miaka 5 tunapiga kura Sasa usichanganye maji na mafutaYu wapi Saddam Hussein, Yu wapi Mubarak, Yu wapi Gaddafi,.
Nyie ni Nani ??????
Hamna ujanja robo ya Gaddafi,
Sent using Jamii Forums mobile app
7Mimi ni Sweettablet. Sina haja ya kuwa na ID nyingi. By the way, wewe unazo ngapi vile?
Sasa Chadema ni wapinzani au waganga njaa? Mnalazimisha wabunge kuchangia chama imekua upatu?Mabere Marando hawezi kukubali kwenda kwenye kikundi kilichokodiwa na CCM kuvuruga upinzani.
Hujui Ni Sacco's ya DJ makengezaSasa Chadema ni wapinzani au waganga njaa? Mnalazimisha wabunge kuchangia chama imekua upatu?
Yu wapi Saddam Hussein, Yu wapi Mubarak, Yu wapi Gaddafi,.
Nyie ni Nani ??????
Hamna ujanja robo ya Gaddafi,
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE
Hawa viongozi uliotaja wana uhusiano gani sasa na mfumo wetu wa Uongozi?
Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye mfumo mzuri wa kiutawala na zenye kufuata demokrasia huko ulikotaja kuna chaguzi?Yu wapi Saddam Hussein, Yu wapi Mubarak, Yu wapi Gaddafi,.
Nyie ni Nani ??????
Hamna ujanja robo ya Gaddafi,
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ukinipuuza kuna kitu napungukiwa? Domo limejaa matusi kama K ya malaya.
Kauli ya kipuuzi kabisa hii ni kama haijatoka kwenye mdomo wa mtu
Kwahiyo kumjua mtu mathalani huyo Mzee kwako wewe kunaleta tafsiri gani mbona sasa umeongea kitu tofauti kbs?Wewe si unajifanya unamjua sana huyo Mzee?
Nafikiri Dj kuna watu wake walikuwa wanakutafuna sasa hiyo opportunity inaenda ukingoni.Ndio maana umepanick!Ya bimkubwa wako
MTU mwenye akili hawezi kujiunga na kikundi cha wahuniMabere Nyaucho Marando ndiye Mwanachama mwenye kadi namba moja ya NCCR Mageuzi,alizaliwa takribani miaka Sabini iliyopita huko Mkoani Mara
Nguli huyu wa sheria ni miongoni mwa waasisi wa siasa za mageuzi hapa nchini akiwa na wenzako akina Bagenda, Ole Sirikwa,Komu, n.k
Huyu Mbabe wa siasa za upinzani alihamia chadema akawa kiongozi kule baada ya kuvurugana kwenye NCCR Mageuzi,Mwanasiasa huyu hajaonekana hadharani kwa muda mrefu, yuko wapi ?
Mhe. Mbatia kuna dalili kuwa nyumbani kumenoga msaidie nguli huyu arejee apewe heshima yake kama akina Emmanuel Ole Sirikwa na wengine
NCCR Mageuzi kumenoga
Ccm IPI? hii ambayo ina maabara moja ya korona nchi nzima??Wewe unamjua kwa kina Mabere Nyamcho Marando? Iache CCM iitwe CCM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chama kilichosajiliwa kwa mujibu wa sheria wewe unakiita kikundi cha wahuni ......wewe umeshikiwa akili siyo bureMTU mwenye akili hawezi kujiunga na kikundi cha wahuni
Nccr ni CCM B hata Lyatonga kasemaMabere Nyaucho Marando ndiye Mwanachama mwenye kadi namba moja ya NCCR Mageuzi,alizaliwa takribani miaka Sabini iliyopita huko Mkoani Mara
Nguli huyu wa sheria ni miongoni mwa waasisi wa siasa za mageuzi hapa nchini akiwa na wenzako akina Bagenda, Ole Sirikwa,Komu, n.k
Huyu Mbabe wa siasa za upinzani alihamia chadema akawa kiongozi kule baada ya kuvurugana kwenye NCCR Mageuzi,Mwanasiasa huyu hajaonekana hadharani kwa muda mrefu, yuko wapi ?
Mhe. Mbatia kuna dalili kuwa nyumbani kumenoga msaidie nguli huyu arejee apewe heshima yake kama akina Emmanuel Ole Sirikwa na wengine
NCCR Mageuzi kumenoga
Mnadanganya idadi ya vifo na wagonjwa, huku mnafanya maombi!
• Mnaacha Baa zote nchini wazi, watu wanalewa na kuzini usiku kucha, huku mnaendelea kufanya maombi!
Watanzania wenzangu, tuambizane ukweli, hakuna Mungu atakayepokea maombi yetu, labda Mungu wa Chato
Hata ccm ni kikundi cha wahuni tuChama kilichosajiliwa kwa mujibu wa sheria wewe unakiita kikundi cha wahuni ......wewe umeshikiwa akili siyo bure
Kwahiyo cdm ndo chama ? Ww kweli utaugua magonjwa ya moyo tuHata ccm ni kikundi cha wahuni tu