Dr Shekilango
Senior Member
- Dec 30, 2013
- 192
- 117
Katika wimbi la Vijana wa vyama vingine vya upinzani wanaohama Kutoka ACT Wazalendo na CHADEMA kwenda NCCR-MAGEUZI wanaonekana kuwa na nguvu kubwa hivyo kumuyumbisha Mwenyekiti wa Kitengo cha Vijana NCCR-MAGEUZI Nicolas Clinton, wengi wanaonekana kuwa na moto wa kukitumikia chama hicho kiharakati wakati chama hicho hakipo kiharakati.
Hivyo Clinton amekalia moto either kuondolewa katika nafasi yake au kuendelea kupata upinzani mkubwa kutoka kwa magwiji wa siasa kutoka CHADEMA japo kuwa ni kiongozi mzuri mwenye busara na hekma na siyo radical pia.
Pia ndani ya chama kuna kundi linamtuumu Mwenyekiti wa NCCR-MAGEUZI James Mbatia kuwapendelea wageni zaidi!
Hivyo Clinton amekalia moto either kuondolewa katika nafasi yake au kuendelea kupata upinzani mkubwa kutoka kwa magwiji wa siasa kutoka CHADEMA japo kuwa ni kiongozi mzuri mwenye busara na hekma na siyo radical pia.
Pia ndani ya chama kuna kundi linamtuumu Mwenyekiti wa NCCR-MAGEUZI James Mbatia kuwapendelea wageni zaidi!