Recent content by Salahan

  1. Salahan

    Wàjuvi wa habari, Rafah kuna nini?

    Wanataka kuteka ardhi yote
  2. Salahan

    Hivi ni mimi tu haya maisha yanataka kunikataa?

    Nijuavyo waajiriwa hufanya kazi siku 5 nakuwa off siku 2....Tumia izo 2 kufanya kazi isiyohitaji kukodi frem....Tafuta meza sokoni mwaga mtumba wako jmos na jpil hata kama soko litakuwa eneo la kusafiri nenda lifate fungua balo lako.
  3. Salahan

    Airtel 5G Unlimited Internet

    Nikama utumiavyo laini zingine tu kwamba hujalipia hupati huduma.Ila kama hutolipia kwa miezi kadhaa watakuchukulia hatua zingine ilo kwakweli sijui.
  4. Salahan

    Airtel 5G Unlimited Internet

    Yap ni ndogo kwangu kazi inachukua siku 4 kukamilika so kuongeza speed ikawa siku 2 ivyo yani
  5. Salahan

    Kenya unveiled a sixth submarine internet cable

    Mbona sisi cable tunazo kitambo
  6. Salahan

    TOP 10: Nchi za Afrika zenye Internet yenye kasi kubwa ku"download"

    Iyo speed nikwa wastani au....maana kuna vifurushi vya 10,20,30,40,50,100mbps sasa sijajua hivi vipo upande wa business tu au
  7. Salahan

    Airtel 5G Unlimited Internet

    Nami yamenikuta sikuwa najua nilihisi ni tatizo la mtandao hasa ukizingatia nipo nje ya dar es salaam wanakoiuza kwamba ndio ilipo 5g.Baada ya kufatilia huduma kwa wateja ndio wananiambia wako na user limit policy. Mwanzoni kwa speed ya 10mbps cha 70000 kwa Mwezi haikuwa kuwekwa limit hiyo ila...
  8. Salahan

    Mlipuko huu wa Rooters za WIFI kwa kampuni za Simu ipi ni nzuri Kwa matumizi nyumbani?

    Kwa inategemeana na mahali ulipo kwani kuna maeneo mtandao A unashika sana wajati mtandao B unakuwa hafifu. 1.Fiber Ndio chaguo lakwanza ikiwa upo maeneo yaliyofikiwa na mtandao wa fiber wa TTCL hasa maeneo ya mjini.Yapo makampuni binafsi yanasambaza fiber ila kwa gharama ya juu kidogo...
  9. Salahan

    MOVIE & SERIES UPDATES

    Habari Wakuu! Je wewe ni mdau wa movie na series? Zilizotafsiriwa ama Zisizotafsiriwa Basi Tupo Kukuhudumia Huduma tunatoa online na ofisini kwa bei poa ZILIZOTAFSIRIWA Movie moja Tsh.500/= Kuuploadiwa (special request) Movie moja Tsh.1000/= Sizoni Kila Episode Tsh.100/= Zikiwa zaidi ya 50...
  10. Salahan

    Wakristu kitu gani kimewakuta mpaka mmeanza kuwaiga waislamu?

    2:117......na anapo taka jambo basi huliambia tu: Kuwa! Nalo huwa. Kuhusu mungu kujiweka katika tumbo... Kwamba asipofanya ivyo basi hana uwezo... Jibu ni kuwa Mwenyezi Mungu anauwezo wakufanya/kuamuru jambo lolote lakini sio kujizalilisha utukufu wake. Natoa mfano ili ieleweke maana ya kuwa...
  11. Salahan

    Biashara ya pochi ndogondogo

    Biashara ya pochi ndogondogo za kike nainai chambuu 💥4000 Kuanzia pisi 20 🔥5000 Kuanzia Pisi 10 ⚡6000 Kuanzia Pisi 2 🌟7000 Pisi 1 (Rejareja) 😋Unaweza kuuza 7000-10000 📍Tupo Morogoro Mjini Mtaa Wa Konga Jirani Na Aika Lodge 0713055107
  12. Salahan

    UFAFANUZI: Mtume Mohamad amewahi kutenda muujiza gani?

    ndugu unaelewa mana ya maneno haya hapana kinacho tuzuia kupeleka miujiza naona nakuelekeza kwamba iyo aya umeielewa vibaya ijapo ipo wazi tu wakati kila kitu wakiona hapo kwa kiswahili.Ivi hujui unaoneka mzushi tu mana maneno yapo wazi nashangaa unazidi kukomalia lililo wazi kabisa.Labda...
  13. Salahan

    Naombeni vigezo vya kuwa Muislam

    49:14 Mabedui wamesema: Tumeamini. Sema: Hamjaamini, lakini semeni: Tumesilimu. Kwani Imani haijaingia katika nyoyo zenu. Na mkimt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume wake, hatakupunguzieni chochote katika vitendo vyenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.15 Hakika Waumini ni wale...
Back
Top Bottom