Tatizo la wa TZ wanadhani mchango lazima uwe wa mali au pesa. Wanashindwa kujua kua mchango wa mawazo na nguvu ya mtu hushinda mali na pesa wakati mwingine. Gardner, niko na wewe, you've done so much kwa yule mwanamke, unahitaji mgawango wa mali, pasu kwa pasu. Hakuna asojua kua bila wewe Jide...