Recent content by SAKO LA NYANI

  1. S

    JamiiForums Tanzania Shule za Ufundi (Technical Schools): The lost treasure

    Naomba kuleta mada hii ubaoni wadu japo tupate kujadili kwa mapana. Nakumbuka kipindi nasoma sekondari miaka ya 90's ,mnapofika darasa la saba karibu na kumaliza kunafomu tulikuwa tunazijaza kama sikosei zilikuwa zinaitwa TSM9. Pale tulikuwa tunajaza shule ambazo mtu ungependa uchaguliwe kwenda...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Diwani wa mungaa/singida - CHADEMA afyeka ng'ombe miguu

    Mda mwingine tunahitajika pia kuwapima akili hawa viongozi tunaotaka kuwachagua hata kabla ya uchaguzi, kwani wengine unaweza kuta ana historia ya ukichaa muda mrefu lakini kikaja kupoa.Ila pia mleta mada hajatuambia kwanini diwani huyo aliamua kufanya maamuzi hayo.
  3. S

    JamiiForums Tanzania hodihodi wandugu

    kama kichwa cha habari kijielezeavyo. naomba mnikaribishe kwa mikono miwili ndugu zangu katika hili jukwaa. Nimekuwa mfuatiliaji wa siku nyingi lakini sikuwai kujiunga hadi leo hii nikaamua kukata shauri. Ni matumaini yangu mtanijenga pia hata kimtazamo katika harakati za ujenzi wa Tanzania ile...
Back
Top Bottom