Tz hii ndo mana watu hawataki kuwa walimu kwa kuwa wanajua watakula jasho halali. Kila mtu anataka sehemu ambayo kuna magumashi na michakato ya fasta fasta
Halafu baada ya kuondoka yeye akitokea ---- akatumia nae vipindi vinne kuiharibu nchi itakuwa poa sana pia. Acheni ulevi bado pia kuna vichwa vitaibuka. Cha msingi atuachie misingi imara ya kuwafanya wahuni wasipate mianya ya kujifanyia wanavyotaka
Tulieni slaaa ana akili kuliko nyie msiyojitambua ndo maana hawaishi midomoni. Sumsye lowasa mbona hamuwalaumu kuhamia chadema. Kila mtu ana uhuru na maamuzi yake.
Gwajima ni mzushi tu. Anachanganya watu tu. Kama vipi aachane na siasa aendelee na dini. Alituambia lowasa ndiyo joshua wa kulivusha taifa sasa iweje tena atupe bra bra hapa.
Kweli kichwa yako ni bustani ya nywele
Na kama uko vizuri kichwani ila unajifanya huelewi bas wewe ni miongoni ambao mnaanza kuisoma namba mnatafuta watetezi humu. Tulia unyoooke
Unatakiwa ufikiri sana kabla ya kuleta mada za chuki tushirikiane kujadili.Kaskazini unakomanisha ni wapi? kwa nini mnauwaza sana urais.Na ndiyo maana mkahamia wote chadema baada ya kukatwa ccm.Stupidy.msitupandikize chuki hapa mkimaliza ukask mtakuja umarangu na ukibosho
Sipati picha ya hizo kelele sijui zitakuwa ni nyimbo au mipayuko? Nasubiri sana siku hyo.Mi nilijua baada ya uchaguzi ilikuwa ni mwisho wa tamthilia ya lowasa na wenzake.Nadhan tunaenda weka historia mpya kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.