Recent content by Sajidu Mzalendo

  1. S

    JamiiForums Tanzania Shitambala wa Chadema Mbeya ahamia CCM - Chadema kuchukua hatua za kisheria

    Shitambala ni kunguni tu,,,,,,,,,hatusumbui CHADEMA .......ndio ameshapotezwa hivyo.............Mwendawazimu mkubwa.
  2. S

    JamiiForums Tanzania MZEE WA UPAKO AJIKOMBA KWA jk

    >>"Unapojenga afya ya kitu chochote ni lazima ujue misingi ya nchi ni lazima tuheshimu na kuwapenda viongozi wetu tuliochagua na kuwapigia kura. Hata katika maandiko kiongozi anatakiwa aonywe kwa hadhari, heshima na hekima na si kwa makelele. "Utawala ni mamlaka inayowekwa Mungu lakini...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Zitto, Lipumba na mkakati wa kuidhoofisha CHADEMA

    Pamoja na utetezi wa zitto bado kuna haja ya kumchunguza kwa makini juu ya kauli zake.Bado si mtu wa kuaminika. Tatizo kubwa la Zitto kushutumiwa na baadhi ya Watanazania linatokana na kauli zake tata, pamoja na misimamo yake ambayo inasigana na ya chama chake. Na asipokuwa makini zitto atabaki...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Hivi UDP ni NGO ya Cheyo au CCM?

    Binafsi sioni juhudi zozote za cheyo, kujenga chama cha UDP.Au ndio ameshakibinafsisha na kuwa NGO ya CCM?Naomba ufafanuzi?
  5. S

    JamiiForums Tanzania Hivi udp ni ngo ya cheyo?sidhani wananchi 5,000 wa tanzania kama wanamfahamu katibu wa udp?

    Sioni harakati zozote za zinazofanywa na UDP kuimarisha chama. Mh.Cheyo kakifaanya chama chake kuwa NGO,chama cha mjungu (Pandikizi la CCM) dhidi ya uhujumu wa upinzani nchini. Cheyo ni mwenyekiti mfu, mbinafsi,mnafiki, mchoyo na hafai kushirikishwa kwenye harakati za vyama makini vya upinzani...
Back
Top Bottom