Recent content by saireal

  1. S

    Usifungue thread hii utani huu siyo

    sura nzito kama uji ambao haujachemka
  2. S

    Unaweza kuamini Kweli! 50 cent kafulia aisee

    dah! huyu jamaa namkubali sana.....anaijua kazi yake
  3. S

    Wabunge wagomea posho ya laki 3, wasema ni ndogo

    dah! hawa jamaa vituko sana! kwa staili hii naona kabisa rasimu ya katiba ikijadiliwa na watu walioamka na pombe kichwani(hang over) na mwisho kutuletea katiba ya kilevi
  4. S

    Kama huijui vizuri kampuni ya utafiti ya SYNOVATE sasa hivi inaitwa Ipsos synovate.

    hawa jamaa wapuuzi sana wanakutuma mkoani ukafanye kazi kwa siku kumi matokeo yake wanakupa budget ya siku tano au saba zinazobaki wanakula wao wakati wewe unateseka huko vijijini
  5. S

    kiwanja kinauzwa

    mita30×mita25 mkuu
  6. S

    kiwanja kinauzwa

    bei ni million 95, kiwanja kipo sala sala njia ya kwenda kinzudi karibu na "mnanga bar"
  7. S

    kiwanja kinauzwa

    Kiwanja kinauzwa kina ukubwa wa 30m×25m. kiwanja kipo salasala njia ya kwenda kinzugi karibu na "mnanga bar". Bei ni million 95, aliye tayari ani PM.
Back
Top Bottom