Recent content by sailas

  1. S

    Rais wa nchi mojawapo ya Afrika mashariki anakopa sana

    Duuuuuuuh tumeisha
  2. S

    Rais wa nchi mojawapo ya Afrika mashariki anakopa sana

    Nooooooma[emoji23][emoji23][emoji23]
  3. S

    Rais wa nchi mojawapo ya Afrika mashariki anakopa sana

    Ongezeko la mishahara 23% hizo ndio data zenye uhalisia , ausio siunata zenye uhalisia chukua hiyo . Data nyingine hii. Wameondoa ada 70k five and six Alafu michango inafika 200k. Time tangaziwa elimu bure kwa kutumia hizo data tunapata uhaliasia wa elimu bure Apo vipi umefika hii. Endelea...
  4. S

    Rais wa nchi mojawapo ya Afrika mashariki anakopa sana

    Data Zinazonleta uhalisia Ni mafuta 3240 liter. Nadata zisizonleta uhalisia Ni tumeweka bilioni 100 kupamba na mfumuko wa Bei ya mahuta (bilioni 100 kweli?)
  5. S

    Rais wa nchi mojawapo ya Afrika mashariki anakopa sana

    Mbona huja jibi hoja
  6. S

    Rais wa nchi mojawapo ya Afrika mashariki anakopa sana

    Sasa mbona hizo tax kipindi chake ndio zimeongezeka but still anakopa zaidi , kwa sababu mkopo wa covid , ungeweza kuweka uchumi uwe stainable , bilioni 100 tulizo ambiwa zimeingizwa ili kupambana na mfumuko wa Bei kutokana na Vita Ukraine still zipowekwa baada ya miezi 2 mafuta yakapanda zaidi
  7. S

    Rais wa nchi mojawapo ya Afrika mashariki anakopa sana

    Chang'ombe watu Wana Jenga mahali hapa fiki hata kilomita Mika miwili shame on you , Bwawa la umeme. Kila Siku stori halijazwi maji, chakula kipo Bei juu, mafuta ndio yame panda zaidi na huku Kuna bilioni 100 zilitolewa kupambana na mfumuko wa Bei.
  8. S

    Marekani yalalamika kuwa Iran yajiandaa kupeleka shehena za mamia ya drones zake hatari Urusi zikatumike vitani Ukraine

    Ajaomba watu Wana taka kutesti vyuma vyao sikuna uwanja wabure , zelesky katoa alafu tuna watestia hao hao wanajeshi wake . Mfano: Irani "oya mwanangu Putin naomba unitestie drone zangu" Russia " [emoji3525][emoji3525][emoji3525]Hivyo viji drone vya mchongo utanirostisha , nenda kwa bwana...
  9. S

    Duniani: Vita ya Ukraine, Putin amepoteza Dira, mpaka sasa haelewi afanyeje kumaliza vita aliyoianzisha

    We jamaa wakati unandika ulikuwa unaota Mana tunajua sarafu ya Urusi ipo juu , kwa sasa , wee una sema pesa kwenye viroba wananunulia juice[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] masambulizi yame ripotiwa mahali silaha za NATO zili hifadhiwa Huko karkiv , tunapo zungu mza Sasa hivi , migogoro...
  10. S

    15 wauawa kwa kufukiwa na vifusi vya ghorofa lililoshambuliwa na Urusi mashariki mwa Ukraine

    Ile Ni tofauti brother , sadamu alikuwa Kama zelesky hivi , hapo yeye hakuwa mtu wakushikiwa akili kama zelesky
  11. S

    Hivi wazungu hawawezi kutengeneza movies/ series bila gay scenes?

    Hahaha[emoji3][emoji3][emoji3]
Back
Top Bottom