Ongezeko la mishahara 23% hizo ndio data zenye uhalisia , ausio siunata zenye uhalisia chukua hiyo .
Data nyingine hii. Wameondoa ada 70k five and six
Alafu michango inafika 200k.
Time tangaziwa elimu bure kwa kutumia hizo data tunapata uhaliasia wa elimu bure Apo vipi umefika hii.
Endelea...
Data Zinazonleta uhalisia Ni mafuta 3240 liter.
Nadata zisizonleta uhalisia Ni tumeweka bilioni 100 kupamba na mfumuko wa Bei ya mahuta (bilioni 100 kweli?)
Sasa mbona hizo tax kipindi chake ndio zimeongezeka but still anakopa zaidi , kwa sababu mkopo wa covid , ungeweza kuweka uchumi uwe stainable , bilioni 100 tulizo ambiwa zimeingizwa ili kupambana na mfumuko wa Bei kutokana na Vita Ukraine still zipowekwa baada ya miezi 2 mafuta yakapanda zaidi
Chang'ombe watu Wana Jenga mahali hapa fiki hata kilomita Mika miwili shame on you , Bwawa la umeme. Kila Siku stori halijazwi maji, chakula kipo Bei juu, mafuta ndio yame panda zaidi na huku Kuna bilioni 100 zilitolewa kupambana na mfumuko wa Bei.
We jamaa wakati unandika ulikuwa unaota Mana tunajua sarafu ya Urusi ipo juu , kwa sasa , wee una sema pesa kwenye viroba wananunulia juice[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] masambulizi yame ripotiwa mahali silaha za NATO zili hifadhiwa Huko karkiv , tunapo zungu mza Sasa hivi , migogoro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.