Kirobotokatika mashamba ya bangi ni POepole,
Ngoja nijaribu kufungua code Kiroboto Katika mashamba ya bangi ni Polepole,Sigara brand ni Bashiru,Kismayu ni Kinana, Yupo ni Wasira,
Labda unajitoa ufahamu bila kujijua!je hizo vita au hivyo vikundi vya kigaidi katika hizo nchi unazoziita za kiislamu vimetengenezwa na nani?je silaha vinatoa wapi?je kongo nayo ni nchi ya kiislamu?au hitler alikua sheikh?
Siamini kama wasomi wetu waliosomeshwa Kwa Kodi zetu ndiyo wamekua madalali wakuuza tunu kuu ya nchi[emoji24][emoji24]nb Zanzibar napo pia Kuna bandari kwanini zisianziwe kuuzwa hizo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.