Lione lizee zima domo km shimo la choo. Ni juzi tu unalialia baada ya kusweeka korokoroni, sasa subiri wakutembelee si nasikia una kashule usije kulia.
Duh! Wairaqw hizo pesa bado mnazo mpaka leo? Km kweli mtamchagua uchaguzi mkuu mtakuwa watu wa ajabu kwelikweli. Ila majimbo ya Mbulu na Karatu yamekuwa ya magumbaru, mtu km Daniel Awaki anajiita Awack eti Awaki ina kiingereza chake ni aibu. Mtu hajui ht lugha ya Taifa. Nitaishangaa zaidi chama...
Kwani miaka yote walisomea wapi, acha siasa za kipumbavu. Chuo kikuu si shule ya kata. We ndio mbaguzi unaokoteza vt vya kipuuzi. Nani kaiweka Mwanza makao makuu ya hiyo mikoa? Dogo huo ni uasi, umeshagawa nchi kwenye kanda? Nyie vitoto vya shule ya kata ni hatari na janga kwa umoja wa kitaifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.