Recent content by saigilomagema

  1. S

    Misa ya kumuaga Jenista Mhagama imenihuzunisha na kunifikirisha mengi

    Mawazo na hisia zako usitake kutafuta wa kuwaambukiza huo upuuzi wako
  2. S

    Clemence Mwandambo: TAKUKURU hawajui cha kufanya, mpaka wapokee maagizo kutoka kwa wanasiasa

    Lione lizee zima domo km shimo la choo. Ni juzi tu unalialia baada ya kusweeka korokoroni, sasa subiri wakutembelee si nasikia una kashule usije kulia.
  3. S

    Rushwa aliitoa mbunge wa jimbo la Mbulu Mjini aliyemaliza muda wake Zakaria Isaay inatisha; wakati TAKUKURU wapo, vyombo vingine vipo; nchi imetekwa!

    Duh! Wairaqw hizo pesa bado mnazo mpaka leo? Km kweli mtamchagua uchaguzi mkuu mtakuwa watu wa ajabu kwelikweli. Ila majimbo ya Mbulu na Karatu yamekuwa ya magumbaru, mtu km Daniel Awaki anajiita Awack eti Awaki ina kiingereza chake ni aibu. Mtu hajui ht lugha ya Taifa. Nitaishangaa zaidi chama...
  4. S

    GE2025 Butiku: No reforms no election ni kuvunja katiba ya nchi

    Wewe hujui maana ya uchaguzi, wengi wenu km siyo wote hakuna mwenye kadi ya mpiga kura. Nyie ni watu waliokata tamaa
  5. S

    GE2025 Butiku: No reforms no election ni kuvunja katiba ya nchi

    Sasa hayo majinga nani anayasikiliza
  6. S

    GE2025 Butiku: No reforms no election ni kuvunja katiba ya nchi

    Kazi ipi zaidi ya kupiga kura? Nyie ni mazombie lialia
  7. S

    GE2025 Butiku: No reforms no election ni kuvunja katiba ya nchi

    Kwani ni wapi Warioba aliiunga mkono hiyo slogan ya nyumbu?
  8. S

    Huu ndio Uhuni

    Huu upupu wako umeutoa wapi we bwege? Uzushi ni profession yenu nyumbu. Oktoba tunatiki we zombie
  9. S

    Mikoa ya kanda ya Ziwa na Magharibi hakuna vyuo vya degree vya Sheria wala sayansi, Serikali imetusahau?

    Mkiitwagwa washamba, hayo makao makuu nani katangaza? Na kuna ofisi za kiutawala za kanda? Vitoto vya siku hizi vimedumaa akili mpk aibu,
  10. S

    Mikoa ya kanda ya Ziwa na Magharibi hakuna vyuo vya degree vya Sheria wala sayansi, Serikali imetusahau?

    Kwani miaka yote walisomea wapi, acha siasa za kipumbavu. Chuo kikuu si shule ya kata. We ndio mbaguzi unaokoteza vt vya kipuuzi. Nani kaiweka Mwanza makao makuu ya hiyo mikoa? Dogo huo ni uasi, umeshagawa nchi kwenye kanda? Nyie vitoto vya shule ya kata ni hatari na janga kwa umoja wa kitaifa...
  11. S

    Anayedhani mgombea mwenza CCM ni msafi basi hajajua mambo haya!

    Sasa we ngedere unajifananisha na Nchimbi? Jitokeze wewe tukujue siyo kujificha humu km msukule
Back
Top Bottom