Habari wana MMU,
Baada ya kuona kuwa kumekithiri matukio kama, mauaji,vipigo,kufokewa,kutukanwa,kudharuliwa kwa baadhi ya watu nimekuja kugundua yafuatayo
Hasira ina hasara kubwa sana kiafya!!!!
Wengi huwa hawana furaha ila hawajui chanzo cha wao kukosa furaha ni kitu gani!
Basi hapa...