Recent content by Said Stuard Shily

  1. Said Stuard Shily

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Isaya Yunge, Kijana wa Kisukuma, mzaliwa wa Mwanza na mtaalamu wa IT anayemwoa binti wa Rais Ruto

    Ni Mpwa wangu lkn kweli maisha yana fumbo kubwa sana kijana aliyelelewa na Bibi yake Debora Shilly pale Nyalikungu Magu ambae pia ni Shangazi yangu.
  2. Said Stuard Shily

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi lipige marufuku na kuzuia mkusanyiko unaotaka kufanywa na BAVICHA mkoani Dodoma tarehe 12 Agosti kutokana na kuwa na viashiria vibaya

    Uliyataka mwenyewe unaona ulichoambuliwa uzi umekuwa kinyesi daaah aibu ya mwaka jamaa yangu umekataliwa na JF wote
  3. Said Stuard Shily

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Maveterani wa Vita vya Kagera kuanza kulipwa Pensheni zao

    Mbona wengi walishatangulia mbele ya haki isitoshe waliopo ndoto zao za maisha zilishayeyuka kwa kutokulipwa stahiki zao kwa wakati
  4. Said Stuard Shily

    JamiiForums Tanzania Mwanamtandao Rostam Aziz kufanya mahojiano maalum leo Septemba 2, 2025 kupitia UTV

    Basi ww uko kwenye Heat period ready to conceive a pregnancy that's why unasubiri saa tatu ugongwe
  5. Said Stuard Shily

    JamiiForums Tanzania Mwanamtandao Rostam Aziz kufanya mahojiano maalum leo Septemba 2, 2025 kupitia UTV

    Niache kulala nisikilize porojo za Mtu
  6. Said Stuard Shily

    JamiiForums Tanzania Nini kinachofanya Rostam, Kikwete na wana mtandao wengine hadi leo wasikamatwe?

    Mm Taifa gas situmiagi kabisa
  7. Said Stuard Shily

    JamiiForums Tanzania hizi jezi za Simba, mbele wapi? nyuma wapi? mbona hazieleweki.

    Uto bwana ogopa sana kuwa na jirani yako Masikini wa mali na akili pia kama unaweza kumrubuni mwambie akuuzie eneo lake la sivyo kila siku usiku bundi watakusumbua yaan uto hawajawahi kuisha vioja
  8. Said Stuard Shily

    JamiiForums Tanzania GE2025 Askofu Bagonza: Tunao wajibu wa kuchagua, ama tuchague kanga na kofia lakini tusidai barabara

    Daaah Dr Bagonza Mungu akubariki sana,Hata mm na nyumba yangu nimechagua kumtumikia Mungu
  9. Said Stuard Shily

    JamiiForums Tanzania Yanga yapeleka utetezi FIFA katika skendo ya kujiingiza katika siasa

    Acha ujuha ww
  10. Said Stuard Shily

    JamiiForums Tanzania Yanga yapeleka utetezi FIFA katika skendo ya kujiingiza katika siasa

    Kama ni kweli kwa kuwa Yanga wenye akili ni wabe.... hasira zote zitahamishiwa unyamani utafikiri wao ndo wameiandikia FIFA barua
  11. Said Stuard Shily

    JamiiForums Tanzania Majina ya Wanasiasa vijana wenye utulivu na ambao wanaweza kuupata Urais 2030+

    Steve Nyerere aka wqjumbe sio watu
  12. Said Stuard Shily

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Yanga kucheza na Simba Ngao ya Jamii

    Acha ujinga
Back
Top Bottom