Recent content by Said Stuard Shily

  1. Said Stuard Shily

    CHADEMA yaendelea kupata Wenyeviti Wapya katika Mikoa mbalimbali, baadaye watachagua Mwenyekiti wa Taifa Baraza kuu litakapoketi

    Dikteta Mbowe haiwezi ng'atuka aslani.Hicho Chama ni Bwashee Brotherhood
  2. Said Stuard Shily

    Sioni sababu ya Mainoo kuwa overrated kiasi hiki na Man UTD

    Watu tuko busy kufikiria mechi yetu ya tarehe 29/2 ww unatuletea nyuzi za watoto tuliowazaa akina Cole na Mainoo brother please be serious
  3. Said Stuard Shily

    Je, Kwanini mechi ya Yanga na Mamelodi ni gumzo zaidi hapa Afrika?

    Kwamba hilo ní jasho lao kwà kuingia mara kwà mara robo fainali sio wale wanaochukuaga ubingwa kwahisani za akina Malinzi aliyeitangazia dunia kamwe SIMBA haiwezi kuchukua ubingwa yy akiwa Rais wa TFF
  4. Said Stuard Shily

    Je, Hayati Mkapa hakuwa na Chawa? Sioni wanaomkumbuka

    Kanda ya Ziwa hàwana Ukabila kama ile jamii ya akina Mbowe,Lema,Mnyika nk KANDA ya ziwa wanamchagua mtu kwà sifa zake na si kwà kabila lake niko Chato kwenye kumbukizi ya Shujaa MAGUFULI RIP Magufuli
  5. Said Stuard Shily

    Martin Maranja Masese amchambua Hayati Magufuli (JPM) mwanzo mwisho

    Ameeleza Mengi! U7 Ameeleza Mengi ya kumsagia Hayati Magufuli kunguni,itachukua miaka 100 Tanzania kupata Rais bora kama Shujaa MAGUFULI niko chato kwenye kumbukizi ya huyu MWAMBA kuwahi kutokea kuiongoza Nchi kwà mafanikio Makubwa
  6. Said Stuard Shily

    TFF na Bodi ya Ligi wapo kimkakati zaidi katika upangaji wa ratiba

    Tangu Yanga iaanze kuchukua ubingwa misimu miwili mfululizo viingereza vya kizaramo vimeongezeka hapa jukwaani.Halafu MASHABIKI wa YANGA mna muda wa kujitafutia hata mkate wenu wa kila siku kila siku Yanga Yanga au wengi wenu mnalelewa na dada zenu waliokwapuliwa na minjemba fulani hivi
  7. Said Stuard Shily

    Ni rasmi mechi za Yanga na Simba first leg kuchezwa usiku

    Hivi MASHABIKI wa YANGA mnatoaga hata sekunde kufanya kazi za ujenzi wa Taifa kutwa nzima mnawazaga YANGA tuuu
  8. Said Stuard Shily

    Azizi Ki anavyomu-expose Mayele

    Aziz KI kwà hisani ya MAJINI FC ni bora Kuliko MWAMBA Mayele
  9. Said Stuard Shily

    Ni mara 100 ukutane na Chui kuliko Mamelod Sundown

    Tano za mchongo nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kama Yanga inashinda tano kwà halali mfano goli la tano dhidi ya IHEFU kifupi kutàfuta records kwà dhuluma ni ujinga
  10. Said Stuard Shily

    Job: Ni Yanga pekee inayoweza kumkanda Mamelodi Kwa Tanzania hapa

    Achana na maigizo hayo goli zote za mchongo mf. Goli la tano dhidi ya IHEFU
  11. Said Stuard Shily

    Mamelodi Sundowns |SPECIAL Thread|

    Wenye akili wawili tu ile mechi ya Ihefu 2-1 pale Ubaruku Ilikuwa Ihefu FC vs Majini FC????MASHABIKI wa YANGA Bwana!!!!!!
  12. Said Stuard Shily

    Umbea wa Rais wa Yanga kwa Motsepe umeiponza Yanga

    Yanga 0 vs MAMELOD Sundowns 3 MAMELOD SUNDOWNS 5 vs Yanga 0
  13. Said Stuard Shily

    Hivi Aucho ataweza kurejea uwanjani kabla ya kukutana na Mamelod first leg?

    Klibongo bongo bongo UTOPOLO ni bora Kuliko MAMELOD SUNDOWNS
Back
Top Bottom