Kwamba hilo ní jasho lao kwà kuingia mara kwà mara robo fainali sio wale wanaochukuaga ubingwa kwahisani za akina Malinzi aliyeitangazia dunia kamwe SIMBA haiwezi kuchukua ubingwa yy akiwa Rais wa TFF
Kanda ya Ziwa hàwana Ukabila kama ile jamii ya akina Mbowe,Lema,Mnyika nk KANDA ya ziwa wanamchagua mtu kwà sifa zake na si kwà kabila lake niko Chato kwenye kumbukizi ya Shujaa MAGUFULI RIP Magufuli
Ameeleza Mengi! U7
Ameeleza Mengi ya kumsagia Hayati Magufuli kunguni,itachukua miaka 100 Tanzania kupata Rais bora kama Shujaa MAGUFULI niko chato kwenye kumbukizi ya huyu MWAMBA kuwahi kutokea kuiongoza Nchi kwà mafanikio Makubwa
Tangu Yanga iaanze kuchukua ubingwa misimu miwili mfululizo viingereza vya kizaramo vimeongezeka hapa jukwaani.Halafu MASHABIKI wa YANGA mna muda wa kujitafutia hata mkate wenu wa kila siku kila siku Yanga Yanga au wengi wenu mnalelewa na dada zenu waliokwapuliwa na minjemba fulani hivi
Tano za mchongo nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kama Yanga inashinda tano kwà halali mfano goli la tano dhidi ya IHEFU kifupi kutàfuta records kwà dhuluma ni ujinga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.