Ukitoa maoni toa na vithibitisho ili watu tuelewe uliona lini ZZK anaiba au kiongozi yeyote wa ACT anatuhumiwa kwa wizi nafikiri ukitoa ushaidi tutakuelewa zaidi kuliko kutoa maoni au mchango wako na kutuacha njia panda na bila majibu yenye kueleweka
CDM hawana sera kazi wakienda kwenye mikutano badala ya kuwaambia wananchi wakiwachagua watawafanyia nini wanaanza kupiga siasa za maji taka za kuwasema chama cha tawala au ZZK na ACT na huwa wana mfumo wa siasa za kiuanaharakati ambazo aina hizo za siasa huwa zinahusu maandamano siasa ambazo...
Ya Mengi yamekwishaisha ila inawezekana ukaonyeshwa kesho Kwenye habari ya asubuhi ya saa 12 au saa 1 basi kama sivyo basi ripota wa ITV ambaye ni MABELE MAKUBI hakwenda kucover hiyo stori
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.