Habari wana Jf
Tatizo langu ngozi yangu ya uso inakuwa inajitengeneza vipele mpaka inafikia kama jipu na ukivishika unahisi kama vimetunga usaha ila avijitengenezi pakutokea inaweza ikakauka ila sehemu nyingine kinatokea kinakuwa hivyo na vinauma naombeni msaada
mimi kijana nimemakiza form four mwaka 2014 nitaka kujua ukisoma community healthy inaweza ikakusaidia kusoma kozi nyingne za afya maana sikusoma physics peke yake nimepata
je inaweza ikanisaidia niweze kusoma kozi ya maabara nikisoma community healthy
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.