Mbona siwaelewi? Tatizo sio CCM, TATIZO NI UISLAMU. Ifahamike kwamba, endapo masuala haya ya UDINI ndiyo yanayoingia zaid kwenye siasa za Tznzania, basi si muda mrefu Amani ya nchi hii itatoweka. Enyi Chadema, kama kweli mnadhan Udin ndiyo utakaokipa ushindi chama, hapo mmechemka. Waislamu wa...
Pole ndugu, mkeo hapo mapenzi yamepungua kabisa, na nadhani ameokoka kimakusudi kabisa ili akukomoe hvyo ukidhan ndiyo ulokole wake kumbe anakufanyia kusudi. Sikiliza
Wewe kuwa mpole zaid, badilika jifanye mwenye mawazo mnyonge na huna amani, kila uwapo nyumbani kuwa hvyo, atajiuliza maswali...
Hiyo ni kweli ndugu, lkn ninachojiuliza ni kuwa, kwa nn hv sasa matangazo ya waganga yameongezeka zaid? Kila kona hadi vochochoroni inamaana wateja ni wengi sana! Je inamaana wanafanikiwa mambo yao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.