jamani mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!!Acheni ushabiki usiokuwa na maana kuna picha za cdm zina idadi ndogo za waandamanaji vilevile,hii ni sawa na msemo wa KUNYA ANYE KUKU,AKINYA BATA ANAHARISHA !!LOL Tubishane kwa hoja jamani sio picha au nani alianza kufanya nini???
rastaman hivi unaandika tu au unajua unachosema achana na maneno ya mitaani,i know the dude hakuwahi kumiliki jaguar ever !! mwacheni oj apumzike aendelee na maisha yake !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.