Recent content by sagara daudi

  1. S

    Ijue Vita ya Harmagedone kiundani[ww3]

    Umesahau jambo moja la msingi.. Wakati vita hii inatokea, watakatifu wote watakuwa wamekwisha nyakuliwa kwenda Mbinguni
  2. S

    Fake news: Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) laomba radhi kwa kupotosha umma

    Mi bado hainiingini akilini...na kuanzia Leo siwezi Ku quote TBC as a credible source of information...Yaani katika ulimwengu huu wa digital walidhani tutaamini kirahisi rahisi hivo...Yaani hizi propaganda mass media ni upuuzi mtupu..
  3. S

    Dalili za mwanamke aliyefika kileleni na anayedanganya amefika kileleni

    [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji3] [emoji23] [emoji23] Watu wana Kajibu ya mkato jamani
  4. S

    Vurugu Dodoma: CCM wamfanyia vurugu Mbunge wa CHADEMA

    Yeah nakubaliana na wewe bila shaka kuna mtu alimng'ata sikia akamwambia mzee hawa jamaa wako hapo nje.... Akatoa go ahead... Very sad aisee.... Hizi i wish i could be.... "Ipo siku atasema i wish i could be God"
  5. S

    Vurugu Dodoma: CCM wamfanyia vurugu Mbunge wa CHADEMA

    Hili jengo nalifahamu lipo karibu kabisa na barabara kama mita 15.. Nadhani makada wamepagawa na reforms hasa zile za kupunguza idadi ya wajumbe.... Jambo hilo linastua lazima akili ivurugike[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
  6. S

    Kumekucha CCM mwenye hizi initials anza kuaga na omba hifadhi mapema Biafra!

    Nadhani arudishe tu azimio la Arusha kwani katiba yetu bado inaelezea kuwa nchi hii ni ya kijamaa
  7. S

    Waziri Mkuu Majaliwa: Viroba marufuku kuzalishwa wala kutumiwa kuanzia Machi 01, 2017

    mi nadhani viloba navyo vingeingizwa kwenye orodha ya dawa za kulevya...siku hizi kuna viwanda bubu vingi sana vinavyotengeneza viroba hivi...lakini pia nadhani watu huchanganya madawa haya ya kulevya kwenye viroba hivi kwani haiwezekani mtu anakunywa mathalani viroba viwili tu lakini analewa...
  8. S

    Do Arabs/Muslim nations know Israel is the chosen nation of God?

    soma kwenye biblia kitabu cha Ezekiel 36:16-24 utaujua ukweli
  9. S

    Do Arabs/Muslim nations know Israel is the chosen nation of God?

    ndugu naona hata wewe hujayachunguza maandiko vizuri. kwa taarifa tu Israel ni taifa teule ambalo Mungu aliwapa wana wa Israel.. kwa ushahidi tu soma kitabu kifuatacho Ezekiel 36:16-24 hichi ndicho kilichotokea mwaka 1948
  10. S

    MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

    ni suala lililo jema kuheshimu mawazo ya kila mmoja ili kujipa nafasi ya kujenga hoja mbali mbali na kusaidiana ili kupata muafaka. ninavyoelewa mimi kulingana na historia ya kanisa ni kama ifuatavyo, - Papa Julius II akishirikiana na askofu mmoja aliyekuwa ujerumani walikuwa na mkakati wa...
  11. S

    Sijawahi kutukanwa matusi haya toka nizaliwe, ila mzazi mwenzangu kaweza

    Huyo mwanamke dawa yake jifanye na wewe kichaa siku muja umpige kiadhabu .. Huenda anatingisha kiberiti aone kama njiti zimo... Ukiendelea kuinamisha kichwa chini na kumsikiliza tayari huwezi kuwa kiongozi wa taasisi ya familia ndugu
Back
Top Bottom