Recent content by SafMass

  1. S

    Juliana Shonza amlipua Mbowe

    Uongozi ni wito
  2. S

    Juliana Shonza amlipua Mbowe

    Mi mwenyewe najiuliza
  3. S

    Maandamano ya Amani Nchi Nzima

    Tusiogope pamoja tutaweza
  4. S

    Kikwete atampa ulaji gani Balozi Mwanaidi Maajar?

    Tatizo akishaingia CCM atakua hand tofauti na JK ti ataambukizwa ufisadi na hakuna atakaeona Hiyo taaluma yake
  5. S

    CHADEMA jaribuni kuheshimu uamuzi wa mtu. Why Lukosi returned HOME? Part I

    Kwa Hiyo umekubali CCM na Kikwete ni madikteta na wanna matatizo ya kuelewa, manage wao ndio hawakubali kukosolewa wala kuambiwa ukweli...wako radhi kuua km utawaambia ukweli Mfano kwa Dr Ulimboka na MwanaHalisi
  6. S

    Barua Kwa Rais Kikwete Kuhusu Mtwara

    Katika miaka 10 ya Rais huyu dhaifu sijawahi kusikia akitoa maamuzi maguzi magumu au kuamua kitu km amiri jeshi mkuu kwa serikali yake au wananchi wake, always maamuzi yake naweza kuyafananisha na dada zetu....ni yuko kama pambo tu Ikulu...hiyo barua ataipa na ataipuuza coz hana jibu sijui hiyo...
  7. S

    Picha na habari: Yaliyotokea kijijini Msimbati, Mtwara

    Kama ni ujinga kwanini watt mid special agent Kendall kwa bibi km nao sio Primitive?
  8. S

    Picha na habari: Yaliyotokea kijijini Msimbati, Mtwara

    Kwai uliona ziwa Victoria limeamishwa au Bahari? Wana mtwara wanna haki ya kusema gesi ibaki mtwara hiyo mitambo ijengwe mtwara then umeme usambazwe Mikoa mingine na gridi ya taifa
  9. S

    Naibu katibu mkuu CCM Mwigulu adoda MWANZA

    Mbona hizi kadi zote zinaonekana km mpya? Unataka kuniambia wanachama walizitunza kiasi hicho? Au zimefyatuliwa hizo?
  10. S

    Tundu Lissu: Hakuna atakayefanya kazi za CCM akajiita mwana CHADEMA tukamwacha

    Lille Jamaa la UK nalo halina akili kabisa pamoja na kukaa kote ughaibuni lakini bado lina akili finyu...eti Tanzania imeendelea kwa barabara
Back
Top Bottom