Kwa Hiyo umekubali CCM na Kikwete ni madikteta na wanna matatizo ya kuelewa, manage wao ndio hawakubali kukosolewa wala kuambiwa ukweli...wako radhi kuua km utawaambia ukweli Mfano kwa Dr Ulimboka na MwanaHalisi
Katika miaka 10 ya Rais huyu dhaifu sijawahi kusikia akitoa maamuzi maguzi magumu au kuamua kitu km amiri jeshi mkuu kwa serikali yake au wananchi wake, always maamuzi yake naweza kuyafananisha na dada zetu....ni yuko kama pambo tu Ikulu...hiyo barua ataipa na ataipuuza coz hana jibu sijui hiyo...
Kwai uliona ziwa Victoria limeamishwa au Bahari? Wana mtwara wanna haki ya kusema gesi ibaki mtwara hiyo mitambo ijengwe mtwara then umeme usambazwe Mikoa mingine na gridi ya taifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.