Recent content by SAFMARINE

  1. S

    Ningependa Tundu Lissu apokelewe hivi

    wewe ndiyo hilo dude ulilolitaja tena linaliwa na babayako wewe
  2. S

    Ningependa Tundu Lissu apokelewe hivi

    bashite ni hilo tundu lenu lililoko ubelgiji linajivujia tu
  3. S

    Ningependa Tundu Lissu apokelewe hivi

    kwani hamtakuwa na kazui za kufanya mpaka mkampokee huyo mtalii kwani alikuwa anaumwa si alienda kutukana ulaya?
  4. S

    Tundu Lissu: Vipaumbele binafsi vya Rais Magufuli vimefanywa vipaumbele vya Taifa

    hakika sasa tundu lissu anakaribia kuwa kichaa kamili maana anayoyaongelea utafikiri yuko chooni anakunya hamna point yoyote ila wivu tu umemjaa sasa alictaka chato iweje ndiyo afurahie mpuuzi huyu
  5. S

    Ningependa Tundu Lissu apokelewe hivi

    tatizo lao wataleta fujo walete mauaji tena kama ya akwilina kwanza wana kesi
  6. S

    Ningependa Tundu Lissu apokelewe hivi

    yaani watanzania baadhi mnaakili za kule kwenye chakula cha inzi maana mnafikiria vitu vinavyotoa harufu mbaya akili zenu zingekuwa kichwani msingefikiria mambo ya kipuuzi kama kumpokea msaliti wa nchi tobo lissu wa nini siangebaki tu huko na ujinga wake acheni umburura huo fanyeni kazi
  7. S

    Anataka kulipa fadhila kwa wema ninaomuonesha mwanaye

    da jamani dada sky eclat sijui yuko wapi amshauri maana anabusara sana namuamini
  8. S

    Tangu lini msamaha wa Rais umeanza kuchagua Magereza na Kanda?

    WEWE UTAKUWA WALE CHADEMA WAPUMBAVU AMBAO KILA MKUU ANALO FANYA WANASEMA ANAWAIGA WAO YULOE NI KIONGOZI WA NCHI UJUE SIYO BALOZI WA NYUMBA KUMI ANAFANYA LOLOTE ANALOONA KLINAFAA ILA TU HALIVUNJI KATIBA YA NCHI
  9. S

    Tangu lini msamaha wa Rais umeanza kuchagua Magereza na Kanda?

    maelezo meeeeeeeeeengiiiiiiii hamna hata point ya muhimu hapo we akili yako kama ya chadema kila analofanya rais eti ni sera ya chadema yaani mna akili ndogo kama za sisimizi
  10. S

    Hivi mwanamke anaweza kukaa miezi sita bila kufanywa?

    muongo dada wiki iliyopita umesahau tulifanya nini pale guest?
  11. S

    Tangu lini msamaha wa Rais umeanza kuchagua Magereza na Kanda?

    mheshimiwa sana rais wetu mpendwa amesema hiviiiii amemwagiza waziri ha sheria na katiba kama una mjua mahiga na yule bwana mganga biswalo wazunguke tanzania nzima kuchunguza wafungwa ambao siyo lazima wawe magerezani wawatoe sasa wewe na chuki zako za kichadema unakurupuka kuja kuandika upuuzi...
  12. S

    Rais Magufuli: Waliogombea ubunge wakashindwa na nikawapa vyeo vya Kiserikali wasigombee ubunge tena, vyeo havitawarudia

    siyo sielewi kwenye ubunge nako ni bahati na sibu watarudi kulima shauri yao
Back
Top Bottom