Nimekusoma mkuu ni kweli hata mimi niliapply kazi sana za electrician indeed na sijawahi kupata kumbe iko ndio kigezo arafu kingine hawa jamaa awaamini elimu za bongo
Kufika huko naweza hata pesa ya kuanzia ninayo mkuu kitu ambacho nataka ni vizuri ukawa hata na mwenyeji ambaye anaweza akakuelekeza machaka pia hata kumchangia makazi
Wakuu naombeni ushauri wenu mimi nimesomea Certificate of electrical installation level three (three years veta) na nina experience ya 5 years nikienda Canada kutafuta maisha Kwa uzoefu wenu nitatoboa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.