Ushauri wangu ni hivi: Kama huyo dada ni mwaminifu asilimia zote kwa mchumba wake basi namshauri amwache huyo mwanaume lkn Kama na yeye amewahi kupita kando hta km hakukamatwa basi amsamehe.
Usilolijua ni usiku wa giza, watanzania kwa kelele na ushabiki hatujambo. Tuombeni mungu aepushilie mbali vita na machafuko, yeyote anayeshabikia vita ni kwa vle amezaliwa na kukulia kwenye amani na neema. Lkn nikiona namna nchi ya Rwanda ilivyosambaratika kwa vita lkn sasa huwezi amini vile...
Hapo sasa kwenye kufungua masikio eti unaelezwa madudu ya mkeo ujue ndoa imekushinda. Kwani mpaka unaamua kuingia agano nae la ndoa hujajiridhisha tu? Back to the point, kiukweli wakati mtoto wa kiume hajaoa huwa karibu na mama, unakuta mama moyo wake wote kawekeza kwa mtoto wake, sasa anapooa...
Bado kdogo tutafikia hatua ukienda hta kumwandikisha mtoto shule za goverment utaulizwa we ni chama gani hospitali vile vile, km hali yenyewe ndo hii, yaan watu wameuawa then inasemekana wamejiua wenyewe? But now our leaders are showing us their true colours. Sidhani km kuna mtu watamfool 2015.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.