Wakubwa nimeandika uzi huu ili tusaidiane ,may b psychological problem nimeshadate na wasichana kama wa4 tofauti nashindwa kudum nao najikuta ni mtu wa kutengeneza mahusiano mapya kila siku mpaka nimeamua kuwa mtu wa kilaj
Kuna binti nilitokea kumpenda sana wakati nasoma o level sikubahatika kudoo nae ila nilimpenda sana na yeye alinipenda sana, baada ya olevel nilikwenda
A level boarding mikoani mbal na nyumbani, toka a level mpaka chuo na sasa nimemaliza chuo nimeanza kazi sijawahi kumuona tena nilimpenda sana...
Chumba na sebure kiwe na choo ndani(master) maji na luku ya kujitegemea viwepo napendelea zaidi mitaa ya airport,karakata,majumba sita,banana hadi Mombasa karibu na barabara garama yangu 80-100
Hi
Hi ni kwa mtu atakaye hitaji kufanya biashara na mimi Eddazaria katika kukinunua kitabu changu cha MY MOMMY'S FRIEND na akapata asilimia kadhaa katika mauzo ya kitabu changu kwa mawasiliano zaidi 06570725988 au 0768516188 au tembelea blog yangu www.storyzaeddy.blog.com au facebook page yangu...
Natafuta frame kwa ajiri ya bishara ya vinywaji (pub,grocery au min bar) nitafurahi zaidi nikipata mitaa ya kipawa,airport,banana,majumba sita,njiapanda ya segerea au Mombasa ....
Nawasilisha wakuu msaada wenu ndio mafanikio yangu!...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.