kauli yako natengua labda unambie vipi kwa mwanamke akaolewa na mwanaume mwenye watoto ambao wapo kwa bibi yao?alafu sina hakika kama jambo hilo ni la ukweli
sijui nianzie wapi ila kifupi pole sana.ukisikia sikio la kufa halisikii dawa ndo dada yako.kuna watu wapo kwenye ndoa yao hupenda sana kusikiliza ya watu,kuna watu wanadumu kwenye ndoa zao kutokana na sababu zao wanazozijua wao yaweza kuwa negative au positive.kuna watu wapo tayari hata roho...
sioni sababu ya kumwambia kwani dada yake anaonyesha pale kafika kwa kuwa alishakataa aonyeshe msimamo wake kesho atasikia na yeye anatembea na shemeji yake akiulizwa atakataa lkn dada yake atamini tu kama hivi alivyoamini.
wewe hapo umenena mimi wangu huu mwaka wa nne eti tunachumbiana tuu nataka kumpa kibuti naona ananizingua ningeapply kwako sasa mimi nina cm 135 cv imeshachafuka tena,ok ngoja waje wengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.