Uranium ni hatari,ukitaka kujua hebu google na usome uranium ni nini? Sifa za uranium, tabia yake;decay,disintegration,dissemination,half life yake na madhara yake kwa binadamu na mazingira.watawala wetu hawa wanaleta porojo na siasa kwenye mambo ya sayansi. wataalamu wamemezwa na...
Bima ya Afya ni ufisadi mwingine,wanakata mishahara ya wafanyakazi kila mwezi kwaajili ya bima ya afya lakini ukienda hospitalini hakuna dawa kwa wenye bima huu ni utapeli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.